1) maana halisi ya kitabu hichi…………… 2 )jinsi ya kufungua biashara iliyo fungwa………… 3) Jinsi ya kuweka kinga kwenye biasha,nyumba,mashamba,chumba………. 4) jinsi ya kuvuta wateja katika biashara yako no1……….. 5) uchawi wa kuita mtu,mume,mke,ndugu au jamaa no1…………. 6) namna ya kujitambua mwenyewe kama umelogwa au laa………… 2 7) jinsi ya kujifungua kama umerogwa kishirikina…………………… 8) njia nyepesi ya kujifungua kama umerogwa kishirikina……………. 9) namna ya kujua kuwa kama una majini ya ukweli au laa…………… 10)namna ya kuuwa ama kuyaondoa kama una majini mabaya mwilini………. 11)mbinu za kufahamu nani mbaya nani mzuri juu ya maisha yako………….. 12)jinsi ya kuanda tego la kukamata wachawi au wezi katika sehemu yako……….. 13)namna ya kutengeneza tego la kumfunga mtu wako wa kalibu……………… 3 14)jinsi ya kumfungua mtu alie lishwa uchawi wa/mapenzi/kurogwa nk………………. 15)namna ya kufanya ili wateja wasipungue katika kazi zako………………. 16)kinga ya ajali,moto,majini na wachawi………………… 17)kinga ya wezi na majambazi katika eneo lako…………………. 18)maneno ya kuzima moto pindi unavyo waka…………… 19)maneno ya kukata damu inayo vuja kutoka katika jeraha……………… 20)maaajabu ya mti wa mkunazi…………………… 4 21)namna ya kutengeneza jinni la pesa kwa kutumia mti wa mkunazi………………. 22)jinsi ya kuunda jinni wa kulinda mali zako kwa kutumia mti wa mkunazi…………. 23)maajabu ya mti wa muosha fedha……………….. 24)jinsi ya kutibu kichaa kwa kutumia mti wa muosha fedha………… 25)namna ya kuondoa nuksi kali kwa kutumia mti wa muosha fedha…………… 26)mbinu za kuunda dawa za maradhi mbalimbali………………. 27)jinsi ya kutengeneza rimbwata la mapenzi…………………… 5 28)histolia ya uchawi ulipo toka………………………. 29)aina za uchawi…………………...... 30)tambua uchawi wenye nguvu kupita wote dunuani………………… 31)pigo la kumpiga mwizi avimbe tumbo………………. 32)pigo la kumpiga mtu apalalaiziiii…………………. 33)pigo la kumpiga mwizi achapwe fimbo………………….. 34)pigo la kumpiga mtu awe kichaa cha kudumu………. 6 35)pigo la kumpiga mtu kichaa cha muda[kumshikisha adabu]………… 36)kumshikisha adabu kama mtu anakuzarau kupita maelezo…………… 37)tego la kuwashusha wachawi na ndege zao kutoka angani…………………. 38)jinsi ya kupata elimu kutoka kwa watu wa kale[usifanye ni hatari sana]………….. 39)tego la kumvimbisha mwizi miguu….. 40)tego la kumpiga mtu ugonjwa wa ukoma……….. 41)michezo ya kuficha sehemu za siri za mtu kwa muda…………………. 7 42)siri za konokono…………….. 43)kazi za jumba la konokono………………… 44)namna ya kuokota au kuchukua jumba la konokono………………….. 45)maaajabu ya jumba la konokono lililo jifunika[MAGUBIKA]……………. 46)maajabu ya jumba la konokono lililo jifunua[MAFUNUKA]…………… 47)sifa za mti wa mnyenje nyenje[LUPOPYU]……………………… 48)namna ya kutengeneza dawa ya kupendwa na watu kwa kutumia mti huu wa mnjenje nyenje…… 8 49) jinsi ya kutengeneza tego la kunasa akina dada au akina kaka kwa kutumia mti huu wa mnyenje nyenje……………. 50) dawa ya kufarakanisha[HATARI USIFANYE]…………… 51)siri za mti wa mbaazi…………… 52) dawa ya biashara cheo pamoja na upendo kwa kutumia mti wa mbaazi……… 53) jinsi ya kuunda pete………….. 54) namna kumuingiza jinni la kinga,mvuto wa pesa kwenye pete ulio unda….. 55) jinsi kuweka jinni wa kuvuta wateja katika biashara yako…………… 9 56) jinsi ya kuunda jinni wa kutibu wagonjwa wako…………… 57) jinsi ya kufufua uganga ulio kufa ………… 58) jinsi ya kuwapa nguvu majini yako ……… 59) jinsi ya kupata jinni wa kupanda kichwani………. 60) namna ya kuiba jinni wa mtu katika biashara yake ………. 62) KILA MSHUMAA NA KAZI ZAKE………….. 63) JINSI YA KUMTIA MTU KICHAA KIZITO…………… 64) talasimu ya CCTV CAMERA/TEGO LA NDOA…………. 10 65) dawa ya kumvuta mtu kama upepo……….. 66) muda na kazi zake katika tiba…………. 67) HITIMISHO……………………………………………. 1.MAANA HALISI YA KITABU HICHI. Ndugu msomaji wa kitabu hichi cha babu bidabida nimeamua kukiita kitabu hichi magic book [KITABU CHA MAAJABU],kwa sababu kuna watunzi wengi sana ulimwenguni lakini na diliki kusema kuwa katika miongoni mwa vitabu ulivyo soma basi hichi ni kitabu cha kipekee sana na kimejitosheleza kila idala lakini hichi kitabu kitakuwa na namba mbili yake kwa sababu wahenga wanasema mwanzo mgumu siku zote kikubwa ni 11 kumuomba mungu lakini napenda kumshukuru mungu wangu alie umba mbingu na ardhi na vilivyomokatika dunia hii pamoja shukurani zangu za dhati ziende kwa wazazi wangu walio nilea mpaka leo kufikisha elimu hii na allah naomba uwasamehe wazazi wangu huko walipo amiini. Kitabu hichi ndani yake kuna vibweka mbali mbali kama vile michezo walio kuwa wakifanya wazee wetu wa zamaini enzi hizo na nadiliki kusema kuwa ndani ya kitabu hichi kuna majini walio enda shule kwa usemi wa vijana wakileo maana watu wengi walikuwa wakitaabika kutafuta majini ya pesa mbalimbali na wengine walikuwa wakidiliki kutafuta majini wa kulinda wake zao pamoja na malizao lakini kwa hadhi ya mungu wetu 12 na amediliki kunijaalia elimu hii kwa uchache na uchache wangu nimeamua kusota huku na kule ili kutafuta elimu hii ya tiba asili na tiba mbadala kwa muda wa miaka kadhaa nyuma mpaka sasa nimeamua kuwatungia kitabu hichi basi jua kabisa nahitaji wanafunzi wangu mufanikiwe kupitia mikono yangu na pia na diliki kusema nawapa elimu hii kwa roho moja na wala sitatia nene la siri kokote kule ili ushindwe kuelewa maana mimi nia yangu ufanikiwe kama nilivyo fanikiwa mimi kwa uchache basi wewe ufanikiwe zaidi yaa hapa. • YA KUZINGATIA KABLA YA KUFANYA CHOCHOTE NDANI YA KITABU HICHI. 13 Kabla ya kukikamata kitabu hichi kwanza hakikisha uwe msafi wa mwili roho na mavazi maana kama utakuwa mchafu wa mwili au kimoja wapo hapo kwa hakika hauta fauru kwa kazi yoyote unayo taka kuifanya,hakikisha una nia safi ya kufanya kazi yako yoyote ile iwe mzuri au mbaya pia fahamu ya kuwa kitabu hichi kina nguvu za kipekee na kama utashindwa kufanya lolote iwe ujui kusoma au ujui kuwa kuna kifaa kimekushinda utakipata wapi basi ‘’CHUKUA UDI WA AINA YA ROSE UNA PATIKANA KATIKA MADUKA YA DAWA ZA ASILI KISHA CHUKUA KITABU CHAKO CHA MAGIC BOOK’’ Sema ewe kitabu cha uchawi nakupa sadaka yako na kwa 14 nguvu za kiumbe ulie kuwepo ndani wewe mwalimu simba naitaji unifanyie kazi zangu kaza……kazaa…..wa kazaa… ..sina cha kukulipa zaidi ya udi huu na kutuma nenda. Kwa hakika kwa manuizi aya yalio kamilika hata kama ikitokea kuwa unajua cha kufanya lakini sasa umeingiwa na uvivu basi tumia njia hii kwa hakita kukataa mizimu ya kitabu hichi.hakikisha unachukua mamuzi yalio kuwa sahihi maana kama utakosea kwenye kutia nia basi kitu hicho hakitorudi nyuma. • ONYO!!! ONYO!!!! ONYO!!!!!!! Endapo utakapo chukua jukumu la kumnuizia mtu vibaya kwa kutumia kitabu hichi basi kumuopoa kwa kutumia kitabu hichi itakuwa 15 ni vigumu sana kwaiyo kama unataka kumchapa mtu basi tumia uchawi husika iwe wa matalasimu au miti hapo kumuopoa itakuwa ni kawaida tu ,nimetoa angalizo isije kuwa tena wewe kupitia kitabu hichi basi iwe ndio jukumu la kuwatesa watoto wa watu hapana na kitabu hichi asinunue ama kuuziwa chini ya umri wa miaka 18. • JINSI YA KUFUNGUA BIASHARA ILIYO FUNGWA. Ikitokea kuwa biashara yako imefunga kishirikina au hata kama imezikwa basi wewe chakufanya ni rahisi sana kuna njia mbili au zaidi za kuagua biashara lakini leo tuangalie ile njia nyepesi na mujarabu kwanza kabisa 16 chukua mchanga wa kuzunguka eneo lako la biashara na kama nje hakuna pa kuchota mchanga basi fagia mchanga wa ndani ya ofisi yako hata kama ni kidogo inatosha sana chukua na dawa inayoitwa mfunguo,habat nuksi,mwinura au kivumbasi pamoja na majani ya mzaituni au mafuta yake changanya pamoja alafu utumie kuoga na kama una weza kujifusha,ndio uanze kuosha ama kupigia deki katika eneo lako huku unanuizia kwa kusema ‘’EH! MUNGU WANGU ULISEMA NIOMBE KHERY NITAKUPA NIOMBE SHARI NITAKUPA LEO HII WALIO OMBA SHARI JUU YANGU UMEWAPA BASI NA MIMI KUANZIA SASA NAOMBA KHERY NAOMBA UFUNGUZI WA BIASHARA YANGU IRUDI KUWA KAMA ZAMANI NASAFISHA NUKSI,MIKOSI,MABALAA,KIZA CHA MIAKA NA 17 MIAKA NAOMBA MUNGU UNISAIDIE’’ kwa kutokana na mfano wa manuizi haya basi kwa hakika mungu atafungua biashara yako ama njia nyingine chukua ule mchanga na uzisomee surati jinni aya ya 1 mpaka ya 9 huku ukiwa umefunga macho na kunuizia kuanzia leo nawafunga majini na watu katika eneo hili watakao kuja kuroga na kuiba kisha utasoma surat fatiha X99 kwa manuizi ya kufungua eneo lako kisha mchanga huo nenda kaumwage katika eneo lako la biasha yaani utaurudisha tena pale pale kwa hakika utaona maajabu ya dawa hizi, • JINSI YA KUWEKA KINGA KWENYE BIASHARA NYUMBA,MASHAMBA,C HUMBA NK. 18 Hii talasimu ina kazi nyingi sana kwani ni talasimu yenye uwezo wa hali ya juu kabisa kwaiyo kama unataka kuweka kinga katika eneo lako labiashara ama katika nyumba yako basi chukua wino mweusi iwe peni au maka 19 peni au zafarani kisha chora talasimu hii kisha izungushie ayat qurusii na kisha utaisomea ayat qurus X313 na kila ukifika idadi kazaa unatia nia ya vile unavyo taka wewe mchawi ama mwizi akija afanya je lakini kumbuka kabla ya yote anza na kuisome surat fatiha X21 na surat nnas na falaq na ikhlaswii x11 ndio uanze sasa kisomo chako ubani wake ni makka,mashtaka,uvumba baada ya hapo nenda ukatundike ama kuzika katika eneo lako la biashara ndugu hii ni talasimu mujarabu sana na haiitaji masiara ni wape tu faida yaa neno hili la LAILAH ILLAH MUHAMAD LLASULULLAH neno hili lina kazi nyingi sana na pia kama utaandika katika mlango wako mkubwa hakika katika nyumba hiyo hata ingia mwizi wala jambazi wala mchawi hizi ni moja ya faida za talasimu hii 20 kwani pia kama utaiyandika kwa kutumia zafalani talasimu hii kwa hakika ukitumia kuioga sehemu safi amini kama ulikuwa unavifungo vinafungunga haraka sana. • JINSI YA KUVUTA WATEJA KATIKA BIASHARA YAKO. Hii ni talasimu katika talasimu bora basi hii ni mujarabu sana na haina masihara naam kama unabiashara na unaitaji wateja waingie kwa wingi sana ama unataka pesa zingie kwa wingi basi usisite kuanda hii chukua zafarani na miski nyeupe ya mafuta chora talasimu hii kwa kutumia mchanganyiko huo katika karatasi nyeupe kisha chukua ngozi ya mnyama fulani anapatikana polini anaitwa 21 nguruka na kama utakosa huyo mnyama basi tumia ngozi ya ngekewa kushonea nje kwa hakika utakuwa na mvuto wa ajabu sana na abaada ya kushonea kama azima unacho itajika wewe ni kusomea, somea surat waqia X4 huku ukiwa unaifusha ubani uvumbana ubani zhura siku ya kuiyandaa nisaa ya kuingia kwa wakubwa ama ni saa ya mapenzi siku yoyote ile ila inapendeza siku ya alhamisi kuamkia ijumaa naam ukimaliza kuiyandaa basi nenda katundike katika biashara yako au weka katika sehemu unayo tunzia pesa kwa hakika hii nimewapa kama zawadi wanafunzi wangu. Pia talasimu hii inafaida nyingi sana lakini kwa kutokana na uchache wa kitabu chetu basi tutaielezea katika kitabu cha pili cha MAGIC BOOK. 22 Hii talasimu imekusanya vitu vingi sana hata ukiangalia katika mjumuiko wa imamu ghazali alielezea sana talasimu hii naam leo babu bidabida nimekuletea talasimu hii na wewe uitendee kazi kwa hakika utaona matunda yake cha kuzingatia ni muda tu ulioko mbele ya kitabu hichi.talasimu hiyo hapo chini. 23 24 • UCHAWI WA KUITA MUME AU MKE NDUGU AU JAMAA NO1. Hakika katika talasimu za ajabu hii ni talasimu ya ajabu sana na inauwezo mara dufu kukupa kile ukitakacho, talasimu hii inatawaliwa na surat fatiha ukitaka kuitumia talasimu hii basi chola talasimu hii ama toa copy talasimu hii siku ya alhamisi au juma tatu iwe saa moja asubuhi au saa nane mchana na unatakiwa kuizungushia manuizi yako kuwa kama ‘’MMI BABU BIDABIDA NAKUITA EWE ASHURA BINT SAIDI HUKO ULIPO AKILI YAKO YOTE IWAZE KURUDI NYUMBANI NA UJE PASIPO KUCHELEWA’’.Huu ni mfano wa manuizi yatakayo kuwa yanaandikwa nje ya talasimu hili kwa lugha utakayo ona wewe 25 inakufa kisha isomee surat fatiha X41 huku ukiwa unaifusha ubani msafi ubani zhura au makka au uvumba kisha nenda katundike juu ya mti iwe inapepea kama kipepeo.Kwa hakika unae muita ato sita kuja tena kwa haraka sana na tambua tatizo hili la kuita mtu ni changamoto kwa waganga wengi sana lakini leo nimewapa njia hii ni mujarabu sana na itendee kazi utaona jinsi ya mambo yatakavyo kuwa mazuri naam. Talasimu ipo ukurasa unao fuata. 26 27 kurogwa uislamu haujaruhusu mtu yeyote kufanya uchawi ni haramu kabisa: uchawi ni amali ya ukafiri uchawi hufanya kazi kwa ushirikiano na mashetani. Uchawi ni nini? kuna maana nyingi za neno hili sihir (uchawi): - 28 (1) kukigeuza kitu na kukitoa katika hakika yake. (2) ni maafikiano baina ya mchawi na shetani ya kwamba atende baadhi ya mambo haramu au ya kishirikina ili shetani amsaidie yeye na kumtii analolitaka. (3) ni kuidhihirisha batili katika sura ya haki: hizo ni baadhi ya tafsiri za uchawi. Jambo la kuzingatia ni kwamba uchawi upo na tena unaumiza. MTU ALIE ROGWA NI YUPI? Nivigumu sana kumuelezea mtu alie rogwa kwa sababu ya kuwa yeye huwa aeleweki kwa muda husika yaani huwezi kumfahamu kuwa kama huyu amerogwa kwa kumtazama kwa 29 macho ya kawaida na ndio maana kuna usemi unasema kuwa ‘’ukimwi haupimwi kwa macho’’ kwaiyo hapa chini nimekuwekea dalili za kumjua mtu alie rogwa iwe kijinni au kibinadamu. • Dalili za mtu mwenye uchawi [alie rogwa]. (1) kuumwa sana na kichwa (2) presha mara kwa mara hata dawa haikubali. (3) kutoona bila ya sababu (4) ndoto zakutisha na zisizoeleweka. 30 (5) hedhi isiyo na mpangilio. (6) ujauzito na ukipima hauonekani. (7)kuwa na mabaka mabaka mwilini. (8)kuteleza kama samaki. (9)kunuka mwili kama uwozo au yai viza. (10)kuvuka magamba kama nyoka. (11)uume kuingia ndani. (12)umme kuto kusimama. (13)uke kutoa harufu kama unagono vile au fangasi. 31 Hizi ni baadhi tu ya dalili za mtu mwenye uchawi(alie rogwa). Lakini basi na tuangalie vipi mtu atajitambua kuwa na shetani. (1) kuumwa na kizunguzungu. (2) tumbo kuuma sana hasa chini ya kitovu. (3) kichwa kuuma kwa vipande. (4) kushtuka na moyo kwenda mbio. (5) mwili kushika moto. (6) tumbo kuuma sana kipindi cha hedhi (7) maumivu wakati watendo la ndoa. 32 (8) kulia bila sababu na kutingishika. (9) mwili kuwa mzito na kuwa na hasira. (10) kutembewa na vitu mwilini (11) kutamani kuachwa na kuacha. (12) kuwa na kauli mbaya (13) maumivu chini ya uti wa mgongo. (14) moyo kuuma kama ananyonyesha (15) kuota unafanya jimai (mume=mke) (16) kuota unazaa,umezaa au unanyonyesha. (17) ukiota jimai tu mimba inatoka. 33 (18) jinamizi, usingizini, na usingizi mwingi (19) kuota unapaa. (20) kusimamiwa na mtu na ukigeuka hayupo. (21) magomvi kila mara kwenye ndoa. (22) kupoteza vitu kama pesa, mikufu, hata ukificha (23) kuchanganyikiwa ndani ya swala. (24) kutopenda kujipamba kwa ajili ya mume. (25) kumchukia mume au mke. (26) kuota unaingiliwa kinyume cha maumbile. 34 (27) maringo na kujivuna. (28) kuhisi unaingiliwa sio ndotoni. Hizo ni baadhi ya dalili za mtu mwenye shetani endapo utajigundua kama una miongoni mwa magonjwa hayo basi chukua tahazari mapema ya tiba. • JINSI YA KUJIFUNGUA KAMA UMEFUNGWA KISHIRIKINA. Kwanza kabisa una takiwa kufahamu kuwa kama unadalili za hapo juu basi jua wewe umerogwa kwaiyo nenda katika duka la tiba za asili au polini nenda uchukue chumvi 35 yamawe pamoja na kivumbasi pamoja na majani ya mti wa mbaazi pamoja na majani ya ushanga wa bibi mti huu una majina mengi sana na kama huufahamu vizuri basi unaweza kwenda katika youtube chanel yangu at babu bidabida online tv kwa hakika utajipatia tiba nyingi sana zaidi ya hizi sasa basi ukisha pata mti hiyo chukua zafalani pamoja rose marashi changanya pamoja huo ndio uwe wino wa kuandikia hii talasimu yako hakikisha unafanya siku ya juma tano saa yoyote ile ukishamaliza kuandika loweka katika maji ya ujazo kuanzia lita3 kwenda juu tumia kuoga usiku,Watu wa kiwa wamepumzika na maji hayo ya kulowekea kombe lako hakikisha yawe maji ya kisima kisicho ona jua yaani maji teka usiku na talasimu yako chukua na uloweke humo hakika ukishaioga na kunywa 36 utakuwa umejifungua na kuna asilimia kubwa sana za kuuwa kabisa huo uchawi na fanya hivyo hivyo katika biashara ilio fungwa. • NJIA NYEPESI YA KUJIFUNGUA KAMA 37 UMEROGWA KISHIRIKINA. 1.KUMUOMBA M/MUNGU SANA kumuomba m/mungu sana kwa imani yako itasaidia sana kufanya nyumba yako kuwa na nuru na nuksi kuondoka 2.CHOMA CHUMVI YA MAWE. choma chumvi ya mawe nyumbani kwako na katika vyumba pia huondoa sana nuksi katika nyumba,vyumba na sehemu ya biashara. ila hakikisha chumvi iwe imetokana na maji ya bahari 38 3.CHOMA UDI hii ni njia iliyotumika sana na watu wa dini. udi huondoa nuksi na kuita malaika wema ndani ya nyumba 4.MAJI YA BAHARI kupigia deki na maji ya bahari pia huondoa nuksi 5.KUEPUKA GIZA. usipende nyumba yako kuwa na giza pia epuka vitu vyeusi kutawala nyumba yako. 6.crystals(madini). 39 kama una uwezo nunua mawe ya madini au crystals na weka katika kona ya nyumba yako. penda sana crystal za kijani,nyeupe na blue 7.KUKARIBISHA WAGENI HASA WATOTO kukaribisha wageni kwa kuwapikia ama kuwanywesha kitu halali husaidia kuondoa nuksi nyumbani kwako 8.KUWASHA MISHUMAA penda kuchoma mishumaa mitatu mieupe miwili na orange(rangi ya chungwa)mmoja. inaaminika mishumaa ni njia kubwa ya kujitibu na kuondoa nuksi. mishumaa mieupe huleta nuru na ulinzi pia orange huondoa uadui mahara fulani. 40 njia hii ya mishumaa hutumika sana na wazungu,wachina,wahindi na watu weupe wengi sana ni vizuri unapochoma basi kutia nia zako kisha kufanya dua/maombi kwa imani yako vile utakavyo. • NAMNA YA KUJUA KAMA UNA MAJINI YA U KWELI AU LAA. 1: Kuumwa kichwa kisichojulikana mwanzo wala mwisho mradi tu kinauma kila siku muda wowote 2. Uzito katika Mabega au hata kichwani kwenyewe. 41 3. Kuota vitu vya kutisha usingizini 4. Kuchukia kuona au kuolewa kama bado hujaoa au kuolewa. 5. Kwa alie Oa au kuolewa huchukia Tendo la ndoa 6. Kupatwa na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa au baada 7. Baadhi ya wanawake hukosa Maji maji katika UKE wakati wa kufanya tendo la ndoa na hivyo wakati mwingine hupatwa na michubuko endapo lita lazimishwa tendo hilo 8. Baadhi ya wanaume hushindwa kumalizia vizuri tendo la ndoa au kumaliza haraka zaidi 42 na kisha kupatwa na usingizi Mzito Mara tu baada ya kumaliza Tendo la ndoa. 9 Kama una mke au Mme hutaki kufanya nae tendo la ndoa na usiku huo ulio kataa unaota unafanya na mtu mwingine. 10.Kuwa na hasira za ajabu wakati wa kuamka asubuhi. 11.Wakati mwingine huona kama kuna mtu kakuinamia wakati ukiwa umelala taa imezima(kiza) 12.Wakati mwingine huhisi kama kuna mtu anatembea ndani ya chumba ulicho lala. Ukijaribu kuwa makini kumsikiliza au kuwasha taa humuoni mtu yeyote. 43 13: kujilaumu hadi kuhisi kulengwa na machozi kwa kosa dogo tu 14: kuchukia kutumwa na hupenda kujiajiri 15: kuchukia sana dhambi 16: ukikaa sehemu ya kimya sana unasikia watu wanaongea kichwani 17: kuota unasali kila mara hali ya kuwa kama unajilazimisha kusali ikiwa imekupita hata sala moja 18: kushtuka saa nane usiku baada ya kuota umeamshwa kusali au adhana ya kwanza kwa mwislamu 44 19: kuota unamuombea mtu na mwili wako kujaa nguvu kwa mkiristo 20: kuota unaongea na kiumbe asiekuwa binaadamu labda mnyama au ndege.. Zipo nyingi sana hizo ni baadhi tu.. hii ni fursa kwako wewe mwenye majini kujitambua je ulionayo ni mema au mabaya? na unayatumia au yanakaa tu? unayatoa au unabaki nayo unaongeza elimu ili usimkufuru mwenyezi kwa kuwa na majini... • NAMNA YA KUUWA AU KUYAONDOA KAMA UNA MAJINNI MABAYA MWILINI. 45 Ikitokea katika mwili wako kuna majini wachafu basi tumia talasimu hii kwa hakika utaonaa ajabu ya majini watakavyo kufa ama kukukimbia katika mwili wako chukua zafarani chora talasimu hizi ama piga picha kisha toa copy talasimu hii ziwe kalatasi 21 na kila kalatasi funga na punje7 za pilipili manga mapoja na dalifilfil vipande 3 ama saga upate unga kisha ndio ufunge katika talasimu hizi lakini kabla ya hapo hakikisha uwe ume pakaza mafuta ya mzaitunu ukiwa umeyachanganya pamoja na mafuta ya mnyonyo na mafuta ya nazi hizo karatasi zisomee surat yasiin komea katika mubini ya pili somea X11 kisha uwe unajifusha au kama unampa mgonjwa basi umwambie ajifukize kila siku X2 ajifukize azana ya saa7 na azana ya saa12 jioni kwa hakika hazitaisha karatasi 46 lazima akuletee majibu amepona kwa idhini ya mungu ndugu msomaji wa kitabu cha babu bidabida hii ni mujarabu sana kwani akuna jinni atakae bakia salama mwilini kama yeye ni mchafu. Talasimu yake hii hapa chini ipo ukurasa wa mbele….. 47 • MBINU ZA KUFAHAMU NANI MBAYA NANI MZURI JUU YA MAISHA YAKO. Ikitokea kuwa kama una mashaka juu ya watu unao ishi nao basi usijali chukua majani ya mnanaa yawe 7 pamoja na tunda zake saga kwa pamoja na kisha chukua udi mkali yaani udi wenye harufu kali sana changanya pamoja kisha tumia kuchoma katika chumba chako ama nyumba yako kwa hakika ukichoma kwa manuizi mchawi ato thubutu kuingia ndani ya nyumba yako ama biashara yako choma unga huo kwa siku 3 na kama utakosa majani yake usijari chukua hata unga wa majani yake kwa hakika hauto jutia choma kwa manuizi 48 utakayo maana mananaa una majina mengi sana ila niwadokeze kuhusu mnanaa kidogo. Huu ni mnana or tarumbeta la shetani mti huu una kazi nyingi sana kwani unauwezo wa kumwita mtu alie mbali kama utapata unga wa majani yake ukichanganya na MWITA, MLIPU, MVUTE, MWARAKA, MDAULA hapo utaweza kumudu na wito wa mapenzi mteja kwenye biashara yako,Na kama unataka kumvuta mpenzi choma usiku wa saa6 ukiwa uchi wa unyama huku ukiwa unamuita umpendae "WEWE MNANAA WEWE NI FIRIMBI YA KUZIMU KAMA KUNA MTU HATO LISIKIA BARAGUMU BASI NA HUYU ASISIKIE SAUTI YANGU MIMI FULANI MZALIWA WA FULANI NAMUITA , ILA KAMA BARAGUMU LINASIKIKA BASI NA MIMI HUYU FULANI 49 MZALIWA WA FULANI ANISIKIE NA ANIITIKE KUANZIA LEO HII NAMBADILISHA KUWA MWENDA WAZIMU WA MAPENZI AKILI YAKE ILALE KAMA MNANA UNAVYO WEZA KUWALALISHA WENYENYUMBA WEIZI WAPATE KUIBA BASI NA MIMI NAITAJI AJE HUYU MAWAZO YAKE YOTE ANIFIKILIE MIMI NANIWAZE MIMI KILA AKAAPO NA KILA ALALAPO YEYE FIKILA ZAKE ZIWE JUU YANGU MIMI WEWE FULANI BIN/BINT FULANI NAKUITA KWA NGUVU ZA MOTO, UDONGO,MAJI PAMOJA NA UPEPO NJOO KWA NGUVU ZA SOLOMONI" Hapa nimetoa siri kubwa sana kwa waganga hebu jiongezeni maana mti huu ni kiboko mnoo sawa hii utaichoma X1 tu, tena usiku mmoja tu maana ukizidisha siku kuna 50 uwezekano mkubwa sana kwa unae muita kumtia utahiraa . Fanya hii ni mujarabu sana majibu yake ni siku 7 ndan yake Naam mti huu unaweza kutibu mtu alie kuwa kichaa endapo utachanganya na pweza basi ni fusho tosha kabisa la kijini na kichawi kama kuna jini basi lazima afeeh. Mti huu ndio unaotengenezewa vidonge vya sleep pells kwani ukiwa umekula unga huu ujazo wa robo kijiko cha chai kwenye uji kikombe kimoja utalala kuanzia saa moja mpaka saa 8 ila inashauliwa dawa hii usiitumie kama wewe unaakili timamu maana itakufanya uwe teja or taila naam . 51 Kwa leo tuishie hapo kwani mti huu kama utapaka puani au ukipuliziwa puani basi ukiuvuta tuu unga huu utalala fofofoooo pasipo kushtuka hata kama mupo watu 1000 wote muta lala unga huu asili yake ni mkari kama ugoro na unaparia na unaathiri ya kukereketa mdomoni pia ni mchungu kama MPUTURURU vile. Somo hili limetolewa na BABU BIDABIDA mti huu unga wake mbegu zake dukani kwangu zipo nimezileta na umesha kamilika kuwa unga kalibuni muliopo dar es salaam na tanzania kiujumla na nje ya tanzania unatumiwa unga wa mti huu naam. 52 • NAMNA YA KUTENGENEZA TEGO LA KUMFUNGA MTU WAKO WA KALIBU. Hapa na fahamu kuna watu wanasumbuka na wake zao ama wafanya kazi wao wa ndani 53 maana utakuta mtu ni mtundu mwengine ni mzinifu,mlevi,mvutaji bangi sigara basi chukua nguo ya mtu unae taka kumfunga iwe ni mzinifu nk, basi chora talasimu hii kwa kutumia wino mweusi kisha unatakiwa uwe unasoma surat jinni aya 1-9 X9 na huku ukiwa unataja majina yake, mtu huyo kama ni mdhinifu basi mataje ewe Fulani nakuachanisha na Fulani na kama nitakavyo zika nguo hii ya ndani basi na wewe nataka tabia yako Fulani ifee halaka sana basi kwa hakika hiyo tabia itakufa na haito rudi tena labda ufukue pale palipo chimbiwa naam andaa na kusomea siku ya jumanne saa 1 asubui au saa8 mchana na ubani wake tumia miat sahira na unga wa kitunguu swaum na filifil abyadhi, kisha nenda kazike katika mti ulio kufa au katika mlango wa nyumba hiyo au 54 katika kabuli la zamani hii ni mujarab sana talasimu ipo chini hapo • JINSI YA KUMFUNGUA MTU ALIE LISHWA 55 UCHAWI WA MAPENZI/KUROGWA NK. Hii ni talasimu ya kuuwa uchawi wa aina yoyote ile ambayo ilio kuwa katika mwilia au 56 biashara ama ndani. Tambua kuwa talasimu hii inamilikiwa na surat falaq na kama utaichora talasimu hii kwa kutumia zafarani kisha uisomee surat falaq X111 na wakati huo utakuwa unatia nia na usisahau kuzungushia manuiziya mtu huyo alie lishwa limbwata ama alie athilika na uchawi kisha mpe anywe kombe hilo kwa siku 9 asubui na jioni kwa hakika hata kama alilishwa uchawi wa anina gani utatoka haraka sana kumbuka kuwa kama unandugu yako yeye amerishwa uchawi wa mapenzi basi ukisha iyandaa kamchanganyie kwenye maji anayo tumia kunywa hata kama walikuwa maji hayo wana tumia nyumba nzima basi dawa hii itaenda kumkamata muhusika tu wa hilo tatizo ama kama unataka kumpa basi mpee akatumie ila usimwambie kuwa hili ni talasimu la kuuwa 57 uchawi maana ukimueleza tu litakufa nguvu . waweza kumdanganya. • NAMNA YA KUFANYA ILI WATEJA WASIPUNGUE KATIKA BIASHARA YAKO. Talasimu hii iyandikwe siku ya alhamisi saa nane mchana na ukiwa unachola kwa kutumia zafalani na misk ya maji nyeupe ukisha maliza basi kaa katika kisomo chako kwanza sema; ASTAGHAFIRU ALLAH X100,MSWALIE MTUME X100 SEMA YA RATWIFU X129 ,YAA ALLAH X100,kisha sema shida yako kwamba eeh mungu naomba naipa nguvu talasimu hili nataka linijazie wateja katika biashara yangu na inipe kinga juu ya wa rozi(wachawi) kwa 58 hakika ndugu yangu utaona ajabu ya talasimu hii kisha tengeneza azima na nenda katundike katika biashara yako na pia hakikisha ndani ya talasimu utie mchanga wa eneo lako la biashara la sivyo itawavutia watu wote wa eneo hilo na hakikisha ubani wake uwe ni ubani maka ,zhura na ubani uvumba hiyo ndio iwe buhuri yake na somea ayati kurusii X41 ndio uwende ukaweke katika biashara yako. Talasimu hii itakupa kinga pamoja na mvuto wa biashara na kama ukitaka kupanda cheo basi kuwa nayo kama azima haklika utavuma sana ila kumbuka uwe unairudia kila utakapo ona kuwa wateja wamepungua dukani kwako 59 au katika biasha yako hii ni talasimu mujarabu sana na nimewapa kama zawadi wapenzi wa vitabu vyangu tuta iyelezea kwa undani zaidi katika mwendelezo wa kitabu hichi cha magic book namba mbili, talasimu ipo ukulasa wa mbele 60 • KINGA YA AJALI, MOTO, WEZI MAJINI,UCHAWI. 61 Talasimu hii utaichora siku ya ijumaa kwa wino mwekundu kisha isomee surat IKRASWI x313 kisha ipakae mafuta ya mzaituni na uifunge kama azima kisha isomee BISMILLAH RAHMANI RRAHIM X701. Kisha uwe nayo kama azima yako , na kama unataka kukinga chombo chako cha moto ifiche ndani ya chombo , kama unataka kuzindika mji basi funga pamoja na mchanga wa mji kisha zindika kwa kufukia katikati ya mji, hakika hawezi kuingia mwizi wala jambazi. talasimu ndio hiyo hapo chini…….. 62 63 • KINGA YA WEZI NA MAJAMBAZI KATIKA ENEO LAKO LA BIASHARA. Talasimu hii inafaa sana kuyandaa mwezi wa ramadhani kama utaamka usiku na ukaswali rakaa mbili za sunat rihaja rakaa ya kwanza utasoma surat fatiha X1 na surat falaq X10 rakaa ya pili utasoma surat fatiha X1 surat nnas X21 kisha katika sijida ya mwisho utasoma yaa hafeezi X7 na kisha utasema haja yako kuwa unaanda hii talasimu kwa ajili ya kinga na unataka wezi wakija waone nini ama wapatwe na zohari gani ….. Ukisha maliza utakaa katika kikao chako sasa na kuandaa hii talasimu yako chora kwa wino 64 mweusi kisha utasomea bismillah rahmani rahmu X1001 na utasomea ayat qurusi X71 na hapo tayali imekamilika.Kumbuka ubani wake ni ubani mashtaka kwa hakika kazi hii ukiifanya kwa muda upasao utaona maajabu yake, lakini kama mwezi wa ramadhani umepita basi tumia mwezi wowote lakini mwezi ukiwa mpevu kwa hakika utaona ajabuu,talasimu iko ukurasa unao fuata. 65 • MANENO YA KUZIMA MOTO KAMA UNAWAKA. 66 Maeno haya ni maneno ya kufunga nyumba ama kuzima jambo,ima iwe kesi au moto au mvua babu bidabida anasema kuwa kama mmoja wenu ataandika katika kalatasi 4 na kafunga katika pembe za nyumnba yake ama shamba lake ama biashara yake kwa hakika katika biashara hiyo hatoweza kuingia mdudu wala myama yeyote Yule wa kuzuru awe nyoka,nge,kunguni,nk pia 67 na kama utaweka hii ni kinga ya kuzuia nyumba hiyo kuungua na moto ama aridhi yake kumomonyoka kwa kutokana na mvua au mafuriko ukiona nyumba inawaka moto au shamba lina waka moto basi chukua peni chora talasimu hii na chini yake weka manuizi ya kuzima moto kisha anza kuisomea surat masad[tabati ada abilahbi watabba ] utakomea hapo hapo panapo sema abilahabi watabba utasoma X1001 na kisha somea jina hili X111 yaa allah na baada ya hapo utasema ‘’EWE MAZIMA MOTO NAKUTUMA UKAZIME MOTO KWA NYUMBA YA FULANI HARAKA SANA’’. Ndugu yangu hii na jua wengi wao hawaijui lakini ni mujarabu sana na pia kuna talasimu ya kupita pahala pasipo kuonekana ila hiyo nitaeleza katika kitabu kijacho mimi sisemi sana ila allah pekee ndio anajua jinsi 68 gani nilivyo taabika kusoma elimu hii na leo nakupa wewe hadithi inasema ‘’mbora wenu mwenye kuisoma quran kisha akaifundisha’’ nawa sihi kaeni mkao wa kula maana ndio kwanza mambo yanaanza. • MANENO YA KUKATA DAMU INAYO VUJA KUTOKA KATIKA JERAHA. Hii ni talasimu ya kukata damu, pia talasimu hii ni miongoni mwa talasimu mzuri sana katika kumponya kichaa la kini leo tuelezee jinsi gani inavyo tibu tatzo hili la damu 69 utamkuta mtu amejikata kwa bahati mbaya na damu zina mtoka kama amechinja kuku basi cha kufanya chukua panga jipya ama kisu kipya kisha kiandike kule kwenye makali ‘’WEWE NI MAKATA DAMU NAKUAMURU UKATE HII DAMU HARAKA SANA’’.Baada ya hapo sasa chukua yai la kuku mweusi liwe zima na ulichemshe na likisha iva lichukue na lile panga lako ulio andika yale manuizi andika na haya maneno ya kiarabu ya hili talasimu chini ya yale maneno ya makata damu.Kisha yai hilo likate kati kati na hakikisha litoke vipande 2 kama vile wale wanao kata mayai ya kutia katika urojo mixer kwaiyo kipande kimoja ale Yule alie kuwa anatoka damu na kipande kingine ale Yule alie mtengenezea hii dawa yaani Yule alie kata hili yai kwa hakika 70 damu itakata papo hapo hii imesha fanyiwa majaribio sana tena zaidi ya X100. SASA TUNAINGIA KATIKA TIBA MCHANGANYIKO MITI SHAMBA PAMOJA NA MATALASIMU KWA MBALI BY BABU BIDABIDA. • MAAJABU YA MTI WA MKUNAZI 71 Unaweza ukajiuliza Mkunazi ni nini? Je, ni sababu zipi zikaufanya mti huu kuwa wa kipekee tofauti na mingine? Unapoongelea Mkunazi ni ule mti ambapo Allah ameuita Sidrat L Muntaha – mti unaomaliza mambo yote au mwisho wa mambo. 72 KWA NINI MAJINI NA WACHAWI HAWAPENDI MTI HUU? Mti huu huwa unapendwa sana kukaliwa na malaika wakubwa kama RAUQAYAAIL, SAMSAMAAIL, GHANAAIL, ISRAHAMAAH, DARDAAIL. Majini wote waasi na wachawi huwa wanapofika mahali penye mti wa mkunazi hawawezi kukaa wala kusimama mahala hapo na ndiyo maana Mkunazi unapo kuwepo basi katika nyumba hiyo huwa hafiki mchawi wala shetani. FAIDA YA MKUNAZI Majani yake ukiloweka na kuogea iwapo utasomea aya za qur aan basi utaepukwa na 73 kukaliwa mbali majini aina 10 wakorofi ambao ni Jalwush Ummu muldami Ankis Ghaughaan Bedui bidwaan Makata wa makatani Maymuna l hind’ Zawaabil Atruush 74 Subyaan Majini hao kamwe hawata mdhuru tena mtu iwapo atafanyia kisomo maalum cha KHAWAATIMU katika maji yaliyo lowekwa majani ya mkunazi. 2.Pia majani ya mkunazi iwapo unaumwa KIFUA SUGU lakini si pumu, chemsha pamoja na ndimu kisha unywe kwa siku 14 utapona. 3.Kama unawangiwa au kutembelewa na wachawi mara kwa mara basi chukua majani ya Mkunazi. Weka HAIJALI na FAYJALI loweka pamoja na usomee kisomo cha KHAWAATIMU, kisha umwage ndani ya nyumba au shamba na wachawi hawatokujia tena kukudhuru. 75 4.Tabia ya mti huu ni ajabu sana kama ulivyo mti wa MZAYTUNI, mtu mwenye roho mbaya akipanda basi mti huu hauoti na mchawi akipita katika eneo lenye mti huo, basi ajue utamkuta asubuhi, na hatoondoka mpaka wachawi wenzake waje wamlipishe faini. • NAMNA YA KUTENGENEZA JINNI LA PESA KWA KUTUMIA MTI WA MKUNAZI. Hii picha unayo ona hapo chini ukurasa unao fuata huo ni mfano tu wa majini ila sio kama ndio jinni mwenyewe.Kwaiyo tambua kuwa jinni ni kiumbe cha ajabu sana na anatisha kweli! Kweli!. Kama wewe sio jasiri basi njia hii wachie wenyewe tu wanao weza lakini 76 usisite kuwa na mimi babu bidabida mpaka mwisho na nina kuandalia kitabu kiitwacho [ELIMU YA MAJINI ] kitabu hicho kitakuwa baba lao kushinda hichi kwani humo tutasoma asilimia ya majini wote na kazi zao na jinsi ya kuwaita nafanya hivi kwa ajili wewe mwanafunzi wangu ufanikiwe na sikingine wahenga wanasema [ULIE MPENDA MPE MSHIPI AKAVUE KWANI UKIMPA SAMAKI ATAKUWA MVIVU WA KUTAFUTA NA KULISHA FAMILIA YAKE]. Huyu ndio mfano wa jinni….. 77 Hii ni njia ya hatari sana kama utakosea uwandaaji maana kunaitaji uwangalifu sana 78 chakufanya chukua kuku mweupe asie kuwa na doa hata mmoja na kisha chukua mzizi wa mkunazi barua kati upate vipande viwili kisha chukua mzizi wa mkoma manga nao barua kati upate vizizi viwili kisha chukua mzizi wa mkoma manga ubande na mizizi wa mkunazi kipande na kipande cha pili fanya hivyo! hivyo!. Naimani umenielewa chukua mizizi sawa na kipimo kiwe sawa kata pigi sawa kisha chukua uzi mweusi mwepe na mwekundu anza kufunga uzi mweusi kwa maana ya kiza cha majini, kisha fata uzi mwekundu kwa maana ya matilio yao majini kwani wameumbwa kwa moto, kisha fata kufunga uzi mweupe kwa maana ya kufunga mkataba wa majini pamoja na wewe kiumbe wao. Sasa basi somea surat jinni aya 1-9 X99 na tia manuizi ya kuwageuza majini wa kuvuta 79 wateja ama kukuvutia pesa baada ya hapo chukua kichupa kulingana na ukubwa wa pigi zako na baada ya hapo sasa tia pigi zako humo ndani ya hiyo chupa hakikisha hiyo chupa iwe ni ya udongo na iwe nyeupe yani ya kioo, tia maji ya bwawani au ziwani au kisima kisicho kauka maji hakikisha usitie maji ya chumvi yaani maji ya bahari usiweke, baada ya hapo ndani ya hiyo chupa katia[chinja] kuku wako Yule mweupee kwa manuizi ya kuwapa sadaka majini wako na wavute wateja na pesa. Baada ya hapo nenda ukazike njia panda ikae siku 3 na baada ya hapo ndio ukaifukue chupa yako na pindi unavyo ifata usivae nguo nyekundu wala nyeusi vaa nguo nyeupe nk,pindi unavyo ifata talasimu chupa yako hakikisha unapoifukua unaisomea surati fatiha X11 na ndio ufukue 80 na baada ya hapo nenda katika eneo lako la biashara iwe kiringeni au godauni au dukani nk. Kisha washa udu ziwe 7 za aina tofauti tofauti kisha wakalibishe kwa fulaha majinni wako na waambie kuwa kalibuni na naitaji muanze kazi ya kuniletea pesa usisaha kuweka pesa ya noti kulingana na nchi uliopo mfaano kama upo Tanzania basi weka elfu10 zingatia usisahau kuweka na maji ya rose marashi katika hiyo chupa yako kisha ndio utundike katika biashara yako . • ONYO! ONYO! ONYO! Usije ukathubutu kuifungua chupa yako kama unaona wateja wanaingia kwa wingi jinni huyo anatakiwa 81 kugaiwa sada ya damu ya kuku kila utakapo ona amepungua nguvu ya kuita wateja, hapo ndio ufungue na pindi utakavyo fungua hakikisha macho yako uanaangalia pembeni ukisha fungua ndio unahakikisha kuko salama basi ndio ruksa kuangalia chupa yako na ipe sadaka ya damu kwa manuizi mimi nakupa damu na mimi naitaji munijazie pesa katika duka langu au biashara yangu. Ndugu msomaji kama ukitaka kuwa tajiri basi fata njia hii zingatia usione watu wanamiliki pesa tyu jua kuna 82 mambo yao nyuma ya mbazia mengi sana wana yafanya mfano wake ndio kama huu. • JINSI WA KUUNDA JINNI WA KULINDA MALI ZAKO KWA KUTUMIA MTI WA MKUNAZI. 83 84 Natambua walio wengi sana wanajiuliza? sasa kama mimi nina mali na nani atalinda? usijali kwani hawa majini unao waona ni wa kwetu sisi yaani mungu aliwashusha kwa ajili kutusaida katika kazi zetu mbalimbali tuta kazo tushinda sasa basi chakuzingatia ni wewe kuwa mwangalifu na kuacha masihara yote maana huyu ni jinni aitwa SHAMHURUSHI huyu ni miongoni mwa majinni wa barahatii kwa vile huyui ni jinni wa siku ya alhamisi basi wewe unatakiwa kuchukua majani ya mkunazi na utengeneze juice ya majani ya mkunazi baada ya hapo chola talasimu hii na hapo kifuani nimeweka huo mstali tambua hapo ni sehemu ya kuweka jina lako wewe mwenye mali na huku 85 chini pia kuna mstali unasema kaza wa kaza na hapo ni sehemu ya kuweka manuizi yako wewe kuwa huyo jinni unataka mwizi akija awagonge yaani kuwapiga au kuwatisha tu na kumbua kuzungushia manuizi unataka awa fanye nini? • MAANDALIZI YA TALASIMU YAKO. Chukua hiyo juice ya majani haya ya mkunazi kisha andikia hii talasimu kisha zika katika eneo lako nyumba shamba nk. kwa hakika hii nitalasimu ina kazi nyingi sana kwani inaiingia katika mvuto wa biashara huwa inaandikwa na kwenda kuzikwa katika biashara, pia kuna njia zake unazifanya ila leo tukomee hapo kwa kutokana na uchache wa kitabu chetu. 86 Maana tukianza kumchambua jinni huyu tuta kesha hapo ukimaliza kuchora soma talasimu yako surat yasini X7 na kila ukifika mubini soma ayat qurusi X3 na weka manuizi yako kwa hakika utaona ajabu atakavyo kuwa akiwapiga watu bakora ila hakikisha unachukua na mchanga wa kuzunguka eneo lako na unafunga pamoja na talasimu lako. • MAAJABU YA MUOSHA FEDHA. 87 Muosha fedha unaingia kwenye orodha ya mimea saba ambayo inafanya kazi kubwa katika hitaji binaadam. Mti huu huweza 88 kung’arisha nyota, kuvuta watu biashara pamoja na mambo mengine. Miongoni mwa miti saba ambayo inafanana kikazi na muosha fedha ni pamoja na mwita, mfunguo, muharaka miti mitatu naihifadh. Miti Hii kama utaiweka pamoja inaweza kukupa matokeo haraka kwenye kazi iliyokusudiwa. Kwa matumizi kwa ajili ya biashara Tafuta muosha fedha Chumvi ya mawe Pilipili nyekundu unga wa Mwita. Changanya pamoja choma eneo lako la biashara kwa manuizi asubuhi kabla ya kufungua kwa muda wa siku 3. 89 Kwa kujifungua na nuksi au mikosi. mambo haya endi Sawa unalopanga haliwi. Tafuta Kindu 7, Muosha fedha, Nazi ya mdondo, Yai la kuku wa kienyeji, majani ya mbaazi na unga Mwinga jinni. Chukua kindu saba usiku wakati unataka kulala kisha uzifunge fundo moja moja, kisha unasema ‘’mimi nimefungwa kilakitu na alienifunga simjui sasa na mimi nimejiongezea kifungo nafunga njia zangu pia nafunga ufalme wangu na nafunga nyota zangu hadi siku zitakapo fungua hizi kamba’’. Kisha unaziweka mchagoni unalala na ikifika asubuhi unazitia ndani ya maji kwenye ndoo ya kuogea weka na nilivyovitaja hapo juu. 90 Oga hivyo vyote vikiwa ndani ya hiyo ndoo ya maji kisha unaanza kufungua kindu kwa kusema, "alie nifunga alijua kamaliza sasa kuanzia sasa najifungua" Ukimaliza kuzifungua uzichome moto halafu nazi na yai ni vya kuvuja kwa manuizi, Unasema wewe yai umefungwa na sijui kama unamtoto wa kike au wa kiume namimi sijui alie nifunga kama ni wa kike au ni wa kiume nitakavyo kufungua wewe yai namimi nifunguke haraka sana, unalivunja’’. Kisha unakamata nazi unasema ‘’wewe nazi hufunga na kufungua na mimi najifungua kuanzia sasa hivi nafungua nyotayangu, nafungua ufalme wangu, nafungua, nafungua bahati zangu kwa uwezo wa muumba mbingu na ardhi’’. 91 Ukimaliza kuvunja zoa katupe jalalani. • Kwa ajili ya bahati au mvuto wa mtu Tafuta muosha fedha unga Unga wa Misk Mafuta ya Misk Mafuta ya alizet Changanya pamoja Paka na kuchoma kwa manuizi ndani ya siku 7 biidhini llah mambo yako yatafunguka. Kazi zote muelekee mungu kwanza Kwa tatizo lolote. 92 • MBINU ZA KUUNDA DAWA ZA MARADHI MBALI MBALI. Haya ni madawa ya kutibu wagonjwa kwa kuchanganya kwa mfano mgonjwa wa kisukari: • Unga wa mbegu za Zambarau • Unga kibiriti upele • Unga wa hal-titi • Unga wa habat-soda • Unga wa maganda ya koma manga • Changanya na; • 93 • Asali nusu Glass • Majani ya mwembe (yakaushwe kivulini. Yakikauka yasagwe unga) • Matumizi – kijiko1 katika maji (nusu kikombe cha chai 1x3) • Mzizi wa kabichi (yaondoa kisukari kabisa) MAUMIVU YA KIUNO: • Ponda kitungu swaum jipake sehemu inayo uma (kwa mda mpaka upate nafuu) 94 • Mafuta ya habat-soda (Yapashe moto Jipake hapo Kiunoni) • KIFUA KIKUU (1X2) Kwa Miezi Miwili. • Juisi ya kitunguu swaum (1 Glass changanya na Haba Soda ya unga kijiko kimoja) • Asali Safi • Al-Qasusi • Unga wa kete za bao na Mawaridi • punje 6 za Karafuu • Unga wa Pembe ya mbuzi 95 NB:(asifanye kazi ngumu na jimai asikose chakula kilicho bora) • ZIJUE DAWA ZA ASILI KWA MATIBABU YA KUKU • Madawa ya Asili yatokanayo na Mimea yanayosaidia katika Tiba na Kinga za Maradhi mbalimbali ya Kuku . Sehemu za mimea mazinaweza kuwa: Majani, Magome, Mbegu, Maua au Matunda . 96 • Umuhimu wa kutumia tiba zenye asili ya mimea: • Hupatikana kwa urahisi. • Ni rahisi kutumia. • Gharama nafuu. • Zinatibu vizuri zikitumika vizuri • Hazina madhara. Baadhi ya Mimea inayotibu Maradhi ya Kuku: 1. Mwarobaini (Majani, Mizizi, Magome): Hutibu magonjwa yafuatayo: • Typhoid. 97 • Kuzuia Kideri. • Kuhara. • Mafua. • Vidonda. 2. Mwitu Shubiri (Aloe vera): Chukua majani 3-5 makubwa, katakata na loweka ndani ya maji lita 10 kwa masaa 12 hadi 16. Wape kuku kwa siku 5 - 7. Isiyotumika mwaga na tengeneza nyingine baada ya masaa 12. Mchanganyiko huu unaweza kutibu: 98 • Kideri/Mdondo/Chikwem ba/ • Kitoga/Chinoya/Sotoka) - inyweshwe kabla kwa kinga. • Homa ya matumbo (Typhoid). • Mafua (Coryza). • Kipindupindu cha kuku (Fowl Cholera). 3. Mtakalang’onyo (Euphorbia): Chukua Majani makubwa 3-5, ponda, 99 weka katika lita 10 za maji kwa masaa 12-16, chuja na wape kuku. Isiyotumika mwaga na tengeneza nyingine. Mtakalang’onyo hutibu: • Kideri/Mdondo (Mdonde/Chikwemba) • Ndui. • Kuhara damu (Coccidiosis). 4. Mbarika (Nyonyo): Hutibu Uvimbe. Weka majani ya mbarika ndani ya majani ya mgomba kisha weka ndani ya jivu la moto, kisha kanda sehemu yenye uvimbe 100 kwa kutumia majani hayo ya mbarika unaweza kumkanda kuku wako kama anauvimbe katika mapaja ama amevilia damu kokote. 5. Mlonge (Mlonje): Ina vitamini A na C. Chukua majani ujazo wa mikono miwili (gao mbili). Kisha yapondeponde na kuyaweka katika lita 10 za maji na iache kwa masaa 12-16, chuja na wape kuku. Isiyotumika 101 mwaga na tengeneza nyingine. Mlonge hutibu: • Mafua. • Kideri - inyweshwe kabla kwa kukinga • Kipindupindu cha kuku (Fowl Cholera). • Homa ya matumbo • Ini. 6. Konfrei: • Ina madini na vitamini nyingi. • Hutibu vidonda na majipu. 102 7. Ndulele (Dungurusi, Makonde, Tura/Ndula): • Majani hutibu Minyoo. • Matunda hutibu Vidonda. 8. Papai (Majani): Chemsha magao mawili ndani ya maji lita 6 hadi ubakie na lita 1. Poza kisha chuja. Hutibu: Minyoo Pia Majani Ya Mpapai Ni Dawa ya kutibu Kuku Kuharisha namna yoyote Kuandaa Pata jani moja bichi la Mpapai na 103 uliponde ponde lilainike kiasi. Kisha changanya na maji kiasi cha lita mbili na nusu. Kutumia (kwa tiba) - Kuku wapewe maji hayo wanywe,wasipewe maji mengine kwa ajili ya kunywa kwa siku angalau nne au zaidi. - Inafaa zaidi kila siku kuwaandalia dawa mpya ili dawa isihalibike. Kutumia (kama kinga) - Hata kama kuku hawaharishi, wakizoeshwa kunywa 104 maji yenye majani ya mpapai yaliyopondwa angalau mara tatu kwa wiki watakingwa magonjwa mengi. Njia nyingine ya kutumia Mpapai: Kuandaa na Kutumia - Chukua majani ya Mpapai uyatwange upate kisamvu chake kiasi cha lita 1. - Changanya kisamvu hicho na pumba lita moja. 2. - Waweza kuongezea maji kidogo na kuwapatia kuku wanaoumwa watumie chakula hicho 105 hadi wapone. Kama kuku ni wachache, andaa chakula wanachoweza kumaliza kwa siku moja ili kisibakie na kuharibika kabla hawajakimaliza. 9. Mwembe: Majani magao mawili, ponda na chemsha ndani ya lita 6 za maji hadi ibaki lita 1. Wape kwa siku moja. Mwembe hutibu: • Homa ya matumbo. • Mafua. 106 • Kinga ya Kideri/Mdondo. 10. Mpera: Chemsha majani au mizizi. Mpera hutibu: • Tumbo • Vidonda na majipu 11. Minyaa (Cactus): Hii ni aina yenye majani manene-hadi kufikia nusu nchi na mapana hadi kufikia upana wa viganja viwili vya mikono. Minyaa hutibu: (Angalia inaunguza au kubabua). 107 • Vidonda. • Ngozi. • Uzazi 12. Pilipili Kichaa: [a]Pondaponda kiasi kisha changanya na maji na wawekee kuku wawe wanakunywa kwa muda wao. Inasemekana inasaidia kutibu Mdonde (lakini mapema kabla maradhi kuingia). [b] Chukua pilipili 5 za kichaa au ndefu au mbuzi 108 kama ukikosa zote, twanga weka kwenye maji lita 4,wape baada ya kula. Wape kwa siku 5 _Hutibu aina zote za mafua. 13.Kitunguu swaumu: Hutibu Mafua,Typhoid,Kuharish a kinyesi cheupe Jinsi ya kutumia Unakitwanga kisha uchanganya kwenye maji chuja kwa chujio ili kuondoa maganda. 109 IJUE MITI INAYO TIBU MAGONJWA MBALI MBALI YA KIBINADAMU. • mtopetope 110 Tunda la topetope;Mizizi ya mtopetope hutumika katika tiba ya kuondoa uvimbe kwenye kizazi. 2. TIBA YA KIKOHOZI: Tafuna majani ya mti wa mbaazi. Mbali na kutibu kikohozi, mti wa mbaazi, unatibu magonjwa mengine mengi. Mfano, mizizi ya mti wa mmbaazi, husaidia kutibu chango la kiume na kusafisha kibofu cha mkojo. 3. KUVIMBA KWA TEZI LA SHINGO: Kama una sumbuliwa na tatizo la tezi kuvimba, chukua unga wa Kamun Nyeusi, kisha changanya na sega la nyuki, halafu tumia kukanda kwenye tezi, kila siku kwa 111 muda wa mwezi mmoja. Utapata mafanikio makubwa sana. 4. TIBA YA MAUMIVU YA MGONGO, MIGUU, NYONGA NA KIFUA KUPASUA: Kama una sumbuliwa na maumivu ya mgongo, miguu, nyonga na kifua kupasuka, fuata maelekezo yafuatayo: Chukua mafuta ya nyonyo robo lita, mafuta ya Kamun Nyeusi kiasi cha robo lita pamoja na mafuta ya karafuu robo lita , changanya pamoja halafu uwe unatumia kujichua sehemu yenye maumivu, kutwa mara tatu kwa siku thelathini. Utapata nafuu kubwa sana. 5. TIBA YA KWIKWI : 112 Kama unasumbuliwa na kwikwi, fuata maelekezo yafuatayo : Chukua majani ya mwembe mkavu, pekecha kisha mpe mgonjwa atumie kuvuta kama sigara halafu awe anameza moshi. Tatizo la kwikwi litaisha. 6. Tatizo La Kukojoa Kitandani ; Kama una tatizo la kukojoa kitandani, tumia mizizi ya mbaazi kwa kuchemsha, na kunywa maji yake kutwa mara mbili kwa siku, kwa muda wa siku kumi na nne. 7. Tatizo la uvimbe kwenye kizazi : Kama una tatizo la uvimbe kwenye kizazi, chukua mizizi ya mtopetope, tumia kwa 113 kuchemsha na kisha kunywa maji yake, mara tatu kutwa kwa siku thelathini. 8. Vidonda vya koo : Kama una tatizo la vidonda vya koo, chukua maji ya uvuguvugu kiasi cha nusu lita, kisha kamulia ndimu tatu fresh, halafu tumia kusukutulia. Utafanya hivyo mpaka, utakapo pata nafuu. 9. Malaria sugu : Kama una malaria sugu, chukua maji ya dafu moja, weka kwenye chombo kisafi, kisha kamulia ndimu saba, halafu tumia kunywa. Fanya hivyo mara mbili kwa siku, asubuhi na jioni kwa siku tatu hadi saba. Hakika utapata matokeo mazuri sana. 114 10. Tiba ya tatizo la kutoa harufu mbaya kinywani, sehemu za siri, kikwapa na jasho lenye harufu mbaya : Chukua maji yaliyo lowekewa mchele kiasi cha lita moja, kisha tumia kunawia sehemu husika na kusukutulia mdomo. Utafanya hivyo mara tatu kwa siku hadi utakapo ridhika na matokeo unayo yahitaji. 11. Kwa wakina mama; Jinsi ya kuzuia uchungu wamimba,maumivu yakiuno, maumivu wakati wahedhi, na damu itokayo bila mpangilio wasiku maalumu,Chukua majani ya mbigili yatwange halafu changanya navijiko vitatu vikubwa vya 115 unga wa mti unaitwa msonobali kisha tumia kunywa glasi 1 yenye ujazo wa milimita mia mbili na hamsini, kutwa mara tatu hadi hali yako itakapokua nzuri 12. Tiba Ya Vidonda Vya Tumbo,Kisukari pamoja na Typhoid: Chukua mizizi ya mti wa msongati pamoja na majani ya mkalatusi vitwange kwa pamoja kisha chemsha kwenye maji lita moja, halafu tumia kunywa glasi moja ya robo lita, mara tatu kwa siku kwa siku thelathini. 13. Tiba Ya Tatizo La Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Kwa Wanawake : Kama wewe ni mwanamke unaye sumbuliwa na tatizo la kukosa hamu ya 116 tendo la ndoa, unaweza kutibu tatizo lako kwa kutumia vyakula mbalimbali kama ifuatavyo……. 1 JUISI YA MIWA : Tumia kunywa nusu lita hadi lita moja ya juisi ya miwa, mara tatu kwa siku asubuhi, mchana na jioni kwa siku thelathini. Utapata matokeo mazuri. Mbali na kuwasaidia akina mama wenye tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa, juisi ya miwa ina faida nyingine nyingi kitabibu. Moja kati ya faida kubwa za juisi ya miwa, ni uwezo wake mkubwa wa 117 kusafisha figo. Hivyo hata wanaume wanashauriwa kutumia juisi ya miwa au miwa kwa wingi,kwa sababu inasaidia kusafisha figo, na figo ni moja kati ya ogani muhimu sana katika mfumo wa nguvu za kiume. ii. MBEGU ZA FENESI : Chukua mbegu za fenesi kiasi cha robo kilo, kisha chemsha na maji lita mbili, halafu tumia kula pamoja na supu yake. Utafanya hivyo mara tatu kwa siku kwa muda wa siku thelathini. Hakika utapata matokeo mazuri sana. Unaweza pia kuzisaga na kutumia unga wake, kwa kuchemsha na kunywa, kwa kufuata utaratibu huo hapo juu. 118 iii. KOROSHO : Tumia kula korosho pakti moja yenye ujazo wa robo kilo, mara tatu kwa siku, asubuhi, mchana na jioni kwa siku thelathini. Yaani asubuhi, tumia robo kilo, mchana robo kilo na jioni robo kilo kwa siku thelathini. Utapata matokeo mazuri. iv. MIHOGO MIBICHI : Tumia kutafuna walau vipande vitatu vya mihogo mibichi kwa siku, kwa muda wa siku thelathini. Yaani asubuhi utumie kipande kimoja kikubwa,mchana kipande kimoja kikubwa na usiku, utumie kipande kimoja kikubwa. 14. TIBA ASILIA YA TATIZO KIFUA KISICHO PONA KWA WATOTO WADOGO WALIO KUNYWA UCHAFU WAKATI WA 119 KUZALIWA, PUMU, KIFUA KISICHO PONA KWA WATU WAZIMA,KICHOMI,KUWASHWA MWILI NAKUPALIWA WAKATI UMELALA USINGIZINI Tiba Yake, chukua majani ya mpera kiasi cha kama viganja vinne, yaponde pamoja na magome ya muembe kiasi cha viganja vinne, na tunda la koma manga, twanga vyote kwa pamoja ( Yani majani ya mpera, magome ya muembe na tunda moja la komamanga ). Ukisha maliza kutwanga, changanya na maji lita mbili halafu chemsha pamoja na lita moja ya asali mbichi ya nyuki wadogo. Chemsha hadi itokote, halafu ipua dawa yako. 120 Matumizi : Kwa mtoto mdogo mwenye umri wa kati ya mwaka mmoja na miaka mitano, tumia kumpa kijiko kimoja kikubwa mara mbili kwa siku, asubuhi na jioni n kwa siku saba. Na kwa mtu mzima, tumia kunywa vijiko vikubwa viwili mara mbili kwa siku asubuhi na jioni, kwa siku ishirini na moja 15. KUJITIBU TATIZO LA MTOTO WA JICHO : Kujitibu mtoto wa jicho, tumia kunyunyizia jichoni matone mawili ya utomvu wa toto la ndizi. Fanya hivyo mara tatu kwa siku, asubuhi, mchana na jioni kwa siku thelathini. Utapata matokeo mazuri. 121 Mbali na kutibu tatizo la mtoto wa jicho, toto la ndizi, likichanganywa kitaalamu na wine ya mnazi ( Palm wine ) au mnazi, husaidia kutibu tatizo la kidole tumbo au appendix. 16. TIBA ASILIA YA KUPUNGUZA GESI TUMBONI. Kuondoa gesi tumboni, kwa kutumia tiba asilia, chukua juisi ya kitunguu maji kiasi cha glasi moja yenye ujazo wa milimita mia mbili na hamsini,kisha changanya na asali mbichi kijiko kimoja koroga halafu tumia kunywa . Utafanya hivyo mara tatu kwa siku kwa muda wa siku kumi na nne. 122 AU chukua kipande kimoja cha tangawizi,kiponde ponde kisha chemsha kwenye nusu lita ya maji pamoja na kijiko kimoja kikubwa cha asali mbichi ya nyuki wadogo, halafu tumia kunywa kutwa mara mbili kwa siku ishirini na moja. AU ; Chukua asali mbichi ya nyuki wadogo kiasi cha robo lita, changanya na vijiko vitatu vikubwa vya unga wa Kamun nyeusi,kisha chemsha pamoja kwenye maji lita moja.Halafu tumia kula vijiko vikubwa vitatu kutwa mara tatu kwa siku ishirini na moja. 17. TIBA YA PUMU : Chukua magadi vijiko vikubwa vitatu, saga upate unga wake, kisha changanya na samli ya n’gombe vijiko 123 21 vikubwa na asali vijiko 30 vikubwa. Matumizi : Tumia kula vijiko vikubwa vitatu asubuhi, vitatu jioni na vitatu usiku kwa muda wa siku thelathini. Utapata nafuu kubwa sana. 18. TIBA ASILIA YA KIHARUSI NA KIFAFA: Chukua mizizi mitatu ya mti wa ukwaju, mizizi mitatu ya mti wa mkungu, mizizi mitatu ya mpapai, pamoja na mizizi mitatu ya mti wa ufwambo. Iponde ponde yote kisha chemsha kwa pamoja kwenye maji ya lita tatu hadi yachemke. Tumia kumpa mgonjwa glasi moja, kutwa mara tatu kwa siku thelathini. Mgonjwa wako atapata nafuu kubwa sana. 124 19. TIBA ASILIA YA FANGASI ZA KWENYE DAMU, UKURUTU, UPELE, MCHAFUKO WA DAMU, PAMOJA NA KUWASHWA KWAMWILI. Chemsha robo kilo ya majani ya mti wa mdimu kwenye maji kiasi cha lita mbili. Maji yakisha tokota, ipua chuja, halafu tumia kunywa glasi mbili asubuhi, mbili mchana, mbili jioni. Utafanya hivyo kwa muda wa siku thelathini. Hakika utapata nafuu kubwa sana. 20. TIBA ASILIA YA MARADHI YA FANGASI ZA MIGUU NA KUNUKA MIGUU. Twanga majani ya mwarobaini robo kilo, chemsha na maji lita tano, kisha weka 125 kwenye beseni halafu loweka miguu yako ndani ya beseni kwa muda wa lisaa limoja. Utafanya hivyo kutwa mara mbili kwa muda siku kumi na nne. Utapata matokeo mazuri sana. AU chukua majivu kiasi cha robo kilo,changanya na robo lita ya juisi ya ndimu, kisha nyunyizia kwenye miguu, na ukae kwa lisaa limoja. Utafanya hivyo mara mbili kwa siku kwa siku thelathini. Japo inauma lakini ni tiba nzuri sana. 21. KUONGEZA MAZIWA KWA MAMA ANAE NYONYESHA : Chukua majani ya mti wa ukwaju, kiasi cha nusu kilo, kisha chemsha na maji lita tano. Tumia kunywa glasi tatu asubuhi, tatu mchana, tatu jioni kwa muda 126 wa siku saba. Hakika utapata matokeo mazuri sana. Utakuwa unafanya hivyo kila mara utakapo hitaji kuongeza maziwa. • JINSI YA KUTENGENEZA LIMBWATA LA MAPENZI. Hii ni talasimu katika talasimu muhimu nsana na katitika talasimu za ajb basi hii inangoza ukiitaji kutengeneza fungo 127 chola talasimu kwa kutumia peni nyeusui na kisha pembe zoni zungushia surat FIL na manuizi ya huyo unae taka kumfunga pamoja na jina lake na la mzazi wake pamoja na athali yake yoyote toka katika nguo zake,mwili wake kisha chimbia katika kizingiti cha mlango kwa hakika mwanamke huyo ama mtu huyo alie fanyiwa uchachawi huu lazima umkamate hakikisha kazi hii inafanyika siku ya juma tatu au alhamisi au ijumaa saa ama muda wa mapenzi talasimu hii inakazi nyingi pia inafunga maadui zako wadeni wako wasikufate fate jiongeze. 128 129 • HISTORIA YA UCHAWI ULIPO TOKA. Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo “LisanulArab” amesema: “Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na Shaytwaan na kwa msaada wake (Shaytwaan)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.” Ama Swahaba Ibni 'Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema: 130 "Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki." Hayo ni katika kamusi za lugha. Amma katika kamusi ya dini, maana ya neno Uchawi (As Sihr), kama alivyofasiri Mwanachuoni mkubwa Fakhruddin Al Razi kuwa; "Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (khidaa)." Amma Shaykh Wahiyd Abdulsalaam Bali, mwandishi wa kitabu maarufu kiitwacho 'Al Saarim Al Batar fiy muhaarabat Al Saharatul ashraar', na kitabu kiitwacho "Al wiqaya mina l jinni wa shaytan", ambaye pia ni mtaalamu 131 maarufu katika elimu ya majini na Mashaytwaan na uchawi na ambaye pia ni katika maulamaa maarufu wanaotoa majini kwa njia ya kusoma Qur-aan, yeye anasema: "Uchawi ni makubaliano baina ya mchawi na Jinni akishurutishwa mchawi kufanya mambo ya haramu au ya shirki, na baada ya kufanya hayo, Jinni anashurutishwa kumsaidia na kumtii mchawi huyo kwa kila anachotaka." Baadhi ya yale ambayo mchawi anatakiwa na Shaytwaan ayatende ili ajikurubishe naye ni: • Mchawi anatakiwa auvae msahafu miguuni na aingie nao chooni 132 • Aandike baadhi ya aya za Qur-aan kwa damu ya hedhi. • Miongoni mwao wanashurutishwa kuandika aya za Qur-aan penye nyayo za miguu. • Au aiandike suratulFatiha kinyume nyume. • Asali bila ya Udhuu. • Wengine hutakiwa kuchinja mnyama bila ya kulitaja jina la Allaah kisha amtupe mnyama huyo mahali maalum 133 anapoamrishwa na Shaytwaan. • Wamo miongoni mwao wanaozungumza na nyota au kuzisujudia. • Au hutakiwa kuandika herizi kwa maneno yenye kufru ndani yake Imeelezwa kwamba katika nchi ya Sham kulikuwa na mtu ambaye watu walikuwa wakimpenda na kumheshimu sana wakimdhania kuwa ni mtu mwenye makarama. 134 Mtu huyu alikuwa kila mwaka katika msimu wa Hajji akiwatumikia watu wa mji wake kwa kuchukua barua zao na vitu vyao na kuwapelekea watu wao waliokwenda Saudia kuhijji. Alikuwa akipeleka na kurudi kwa muda wa siku moja au mbili tu, na watu walimpenda sana na kuamini kwamba alikuwa ni Waliy. Siku moja mtu huyo aliumwa sana, akamuita mwanawe na kumwambia kuwa kama atakufa, basi ende mahali fulani wakati wa usiku na atamkuta ngamia wa aina fulani na ampande na kufuata amri zote atakazopewa na ngamia huyo. Alipofariki dunia, mwanawe alifanya kama alivyoambiwa na baba yake, akaondoka peke 135 yake wakati wa usiku na kuelekea jangwani kule alikoambiwa na baba yake kuwa atamkuta ngamia. Akamkuta ngamia kama alivyoambiwa, akampanda na alipokuwa akenda, ngamia akaanza kusema na kumtaka kijana yule ashuke na amsujudie. Yule kijana alishtuka sana kusikia ngamia akisema na pia akashangazwa na amri zake, akamwambia: "Vipi nikusujudie, kwani wewe ni nani?" "Ikiwa unataka nifuate amri zako kama nilivyokuwa kwa baba yako, na nikupeleke popote utakapo duniani, basi unisujudie kama alivyokuwa akinisujudia baba yako." Yule kijana akajibu: 136 "Mimi ninamsujudia Allaah peke yake, amma wewe la, siwezi kukusujudia." Ngamia akamrusha kijana yule kutoka juu ya mgongo wake na kumwangusha chini, na kijana yule akatoka mbio mpaka nyumbani kwa mama yake na kumuelezea yote aliyoyaona na kwamba baba yake alikuwa akimsujudia Jinni ndiyo maana alikuwa na uwezo wa kusafiri kila anapotaka kwenda kwa kupaishwa na jini yule. Kwa haya inatubainikia kuwa Jinni hamsaidii wala hamhudumii mchawi wala mtu yeyote isipokuwa naye kwa mkabala wake atumikiwe kwa kutendewa matendo ya kufru, na maulamaa wanasema: 137 "Kila mchawi anapokufuru zaidi, basi Shaytwaan humtumikia kwa nguvu zaidi, na mchawi akitaka apate huduma ya hali ya juu kabisa kutoka kwa masultani wa majini au kwa kiarabu wanaitwa "Maradatul Jinni", basi inambidi afanye kufuru kubwa zaidi, na kwa ajili hiyo, mchawi anapotaka nguvu juu ya wenzake inamlazimikia akufuru zaidi." Kutokana na haya tunafahamu kwamba mchawi na Shaytwaan ni marafiki na washirika katika kumuasi Allaah. Allaah Anasema: "Na (wakumbushe) siku atakapowakusanya wote (akawaambia): "Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu". Na marafiki wao katika 138 wanaadamu (watagombania) waseme: "Mola wetu! Tulinufaishana sisi na wao na tumefikia muda wetu uliotuwekea". Basi (Allaah) atasema; "Moto ndio makazi yenu, mtakaa humo milele", ila apende Allaah (kuwarehemu), hakika Mola wako ndiye Mwenye hikima (na) ndiye ajuaye.” Al-An'aam - 128 VIPI UTAWEZA KUMJUA MCHAWI Zifuatazo ni dalili zitazokuwezesha kutofautisha baina ya mganga na mchawi. Utakapoona mojawapo ya dalili zufuatazo utambuwe kuwa huyo ni mchawi bila shaka yeyote na wala si shekhe au mganga:- 139 • Mchawi huuliza jina la mgonjwa na jina la mama yake • Huchukua baadhi ya vitu vya mgonjwa kama vile nguo za nje au za ndani au kitambaa cha kufutia jasho n.k. • Hutaka mnyama mwenye sifa maalum au rangi maalum ili achinjwe na hapigiwi 140 BismiLLaahi anapochinjwa • Huandika hirizi • Husema maneno yasiyojulikana • Humtaka mgonjwa aepukane na watu muda maalum na akae katika chumba kisichofikiwa na juwa • Mara nyengine humtaka mgonjwa asiguse maji muda wa siku arubaini hivi. 141 • Humpa mgonjwa vitu ili avifukie ardhini • Humpa mgonjwa karatasi aziunguze kisha ajifukize na moshi wake • Mara nyengine humwambia mgonjwa jina lake na mji anaoishi • Huandika maneno katika karatasi na kumwambia mgonjwa azichemshe na kunywa maji yake UKIONA DALILI HIZI KWA MGANGA UMJUE HAPOHAPO KUWA NI MCHAWI NA UEPUKANE NAYE. Allaah Anasema: 142 "Na hakika kulikuwa na wanaume miongoni mwa wanaadamu wakijikinga kwa wanaume miongoni mwa majini kwa hivyo wakawazidishia taklifu (taabu)." Al-Jinn - 6 Na Anasema: "Na atakayejiepusha na mawaidha yangu basi kwa yakini atapata maisha yenye dhiki." Twaahaa 124 DALILI KUWA UCHAWI UPO, KUTOKA KATIKA QUR-AAN NA KATIKA SUNNAH (MAFUNDISHO YA MTUME (SWALLA ALLAAHU ‘ALAYHI WA SALLAM) Katika Surat Yunus aya ya 77 Allaah Anasema: 143 "Akasema Musa:"Mnasema (hivi) juu ya haki ilipokujieni, (kuwa) Huu ni uchawi? (Mbona umefaulu basi) Na wachawi hawafaulu." Hii ni dalili kwamba uchawi upo na Allaah anatufundisha katika aya hii kwamba uchawi haufaulu. Na katika suratul Falaq Akasema: "Na (najikinga na) shari ya wale wanaopuliza mafundoni." Katika kuitafasiri aya hii, mmoja katika maulamaa wakubwa wa tafsiri ya Qur-aan Imam Al Qurtuby amesema: "Maana ya neno "Naffaathaat", ni wachawi wanapopuliza katika nyuzi huku wakizipiga fundo.” 144 Na Ibni Kathiyr katika tafsiri yake akinukuu kutoka kwa Ikrimah na Mujahid na Al Hassan Al Basry (Radhiya Allaahu ‘anhum) amesema: "Hawa wanaopuliza mafundo ni wachawi, na Allaah anatuamrisha tujiepushe na shari zao.” Amma hadithi za Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) zinazotufahamisha kwamba uchawi upo na kwamba uchawi ni katika madhambi makubwa sana, ni hizi zifuatazo: Kutoka kwa Abi Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema: "Jieupusheni na (mambo) saba Yaangamizayo.' Wakasema: 145 'Ni yepi hayo ewe Mjumbe wa Allaah?" Akasema: "Kumshirikisha Allaah, Uchawi, kuiuwa nafsi iliyoharimishwa na Allaah ila kwa haki yake, kula riba, kula mali ya yatima, kurudi nyuma (kukimbia) katika vita vya Jihadi (huku ukiwaacha wenzio wanapigana), na kuwasingizia uwongo wanawake wema wasio na makosa." Al-Bukhaariy na Muslim Ndugu yangu Muislamu, Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) aliposema kuwa mambo hayo 'Yanayomuangamiza', maana yake ni kuwa yanamuangamiza mtu katika moto wa Jahannam. 146 Ukirudia kuisoma tena hadithi hiyo utaona kuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ameutanguliza uchawi kabla ya dhambi ya kuuwa, ingawaje kuuwa ni dhambi kubwa sana, na Allaah Anasema katika Suratu Nnisaa aya ya 93: "Atakayemuuwa Muislamu kusudi, basi jaza yake ni Jahannam atakuwa humo milele na Allaah Ataghadhibika naye na Atamlaani na amemtayarishia adhabu kubwa." Juu ya ukubwa wa dhambi hiyo ya kuuwa, lakini Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu alayhi wa sallam) ameipa uzito zaidi dhambi ya Uchawi kwa kuiweka nafasi ya pili baada ya Shirki na kabla ya dhambi ya kuuwa. SOMA BAHATI YAKO (NYOTA YAKO). 147 Katika hadithi ifuatayo iliyosimuliwa na Abu Dawood na Ibni Majah hadithi ambayo Shaykh Al-Albaaniy ameitaja kuwa ni "hadithi njema", na hadithi hii pia ni dalili kwamba elimu ya kutabiri kwa nyota ambayo huandikwa katika magazeti na watu hupenda kusoma kwa kutaka kujua bahati zao, kitendo hiki ni haramu na yeyote atakayesoma nyota yake, basi swala zake hazikubaliwi kwa muda wa siku arobaini, hii ikiwa anasoma na huku haziamini, amma akisoma na huku anaziamini, basi anaingia katika hukumu ya aliyemuendea mtabiri na kumuuliza jambo, na anakuwa amekwisha kufuru yote aliyoteremshiwa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam). 148 Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema: "Atakayejifunza sehemu ya elimu ya nyota (utabiri) amejifunza sehemu ya uchawi, akiongeza atakachoongeza (katika uchawi au nyota)." Na hii ni kwa sababu wanaosoma elimu ya nyota (utabiri) wanaamini kwamba katika nyota wanaishi majini ambao ni masultani na wakuu, na wanaitakidi kuwa mambo yetu yote husababishwa na harakati za nyota hizo kila zinapotaharaki kutoka mahali kuelekea pengine. Kwa ajili hiyo wao huzingoja nyota hizo masaa mengi ya usiku ili wapate kuandika talasimu zao, na huku ni sawa na kuziabudu nyota hizo. 149 (Pana tofauti baina ya elimu ya anga za juu (Astronomy) ambayo haina ubaya wowote ndani yake, na elimu ya nyota (Astrology) - utabiri - ambayo ni haramu). Ushahidi Mwengine unapatikana katika hadithi iliyosimuliwa na Umran bin Hussain (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliyesema kwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema: “Hayuko pamoja nasi mwenye kuamini juu ya nukhsi (waarabu walikuwa wanapotaka kusafiri humrusha ndege na akielekea upande wa kulia basi husafiri, amma akielekea upande wa kushoto huamini ni ukorofi na kuivunja safari yake), na pia hayuko pamoja nasi mwenye kupiga ramli au mwenye 150 kupigiwa, na atakayemuendea mtabiri na akamsadiki asemayo basi kesha kufuru yale aliyoteremshiwa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam)." Al-Bazaar. Katika hadithi hizi Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) anatukataza tusiwaendee wachawi wala watabiri wa aina yoyote ile kwa kuwauliza juu ya jambo lolote lile, hata kama atajibadilisha na kujiita AlHajj Fulani au Shaykh Fulani au Maalim Fulani au Mganga Fulani na hii ni kutokana na kufru zao wanazozifanya kwa kuwasujudia majini na kuridhishana nao ili wawatumikie. Na hii ni dalili kwamba uchawi upo, maana kama haupo, basi Mtume (Swalla Allaahu 151 ‘alayhi wa sallam) asingetukataza kufanya kisichokuwepo. Pia hadithi hizi zinatufahamisha kwamba mambo haya ni haramu na atakayeyatenda anakuwa amekwishayakanusha yale aliyokuja nayo Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) kwa sababu aliyokuja nayo Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ni kwamba hapana aijuwae ghaibu isipokuwa Allaah Subhaanahu wa Taala. Hadithi ziko nyingi sana, lakini hizi pamoja na aya zilizotangulia zinatosha kuwa ni dalili kwamba yote hayo yametajwa katika Qur-aan na katika mafundisho ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam). 152 UCHAWI UMEANZA ZAMA ZA NABII SULAYMAAN? Wachawi wanaposoma talasimu zao huwadanganya watu kwa kuanza kusoma baadhi ya aya au sura ndogo ndogo za Qur- aan na kulitajataja jina la Nabii SULAYMAAN na utawasikia daima wanamnasibisha Mtume huyu ('Alayhis Salaam) na kufru zao hizo ili wajinga wanaowafuata wadhani kwamba hayo yamo katika dini. Uchawi haujaanza zama za Nabii Sulaymaan kama wachawi wanavyozuwa na kumsingizia Nabii Huyu wa Allaah, bali ulikuwepo kabla yake kwa miaka elfu nyingi. 153 Uchawi ulikuwepo tokea zama za Nabii Saleh ('Alayhis Salaam) aliyekuja kabla ya Nabii Sulaymaan kwa miaka elfu nyingi. Allaah Anasema: "Wakasema: (kumuambia Nabii Swaalih); "Hakika wewe ni miongoni mwa waliorogwa." Ash-Shu'araa - 153 UCHAWI NI KUFRU Wachawi na wafuasi wao hupenda kumsingizia Nabii SULAYMAANi kwa kuinasibisha na kufru yao hiyo na Mtume huyu mtukufu ambaye Allaah alimpa ufalme ambao hajaupata mwengine baada yake kwa kumpa uwezo wa kuwatiisha majini, upepo, na uwezo wa kujua lugha za wanyama n.k. 154 MwenyezMungu Anasema: "Basi tukamtiishia upepo unaokwenda pole pole kwa amri yake, anakotaka kufika (unamfikisha). Pia tukamtiishia Mashaytwaan, kila ajengaye na azamiaye (lulu). Na wengine wafungwao minyororoni (wanapokhalifu amri zake).” Swaad - 36-38 Katika tasfiri yake, Ibni Kathiyr amenukuu kauli ya Ibni 'Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) kuwa amesema: "Asif - alikuwa mwandishi wa Nabii Sulaymaan na alikuwa akilijuwa jina tukufu la 155 Allaah (Al ismul aadham), na alikuwa akiandika kila kitu katika daftari kwa amri ya Nabii Sulaymaan na kulificha daftari hilo chini ya kiti cha Nabii Sulaymaani. Alipofariki Nabii SULAYMAAN, majini wakayatoa maandishi hayo wakachanganya na kuandika baina ya kila mistari miwili uchawi na kufru yao, kisha wakawaambia watu wao kuwa hayo ndiyo maandishi ya Nabii Sulaymaan na ndiyo aliyokuwa akiyatenda, na Mayahudi wakayasadiki maneno hayo, wakawa wanamtangazia Nabii huyu kuwa ni mchawi. Mpaka alipokuja Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) na kuteremshiwa aya ya 102 katika Suratul Baqarah: Allaah Anasema: 156 "Wakafuata yale waliyoyafuata Mashaytwaan (wakadai kuwa yalikuwa) katika ufalme wa (Nabii) Sulaymaan; na Sulaymaan hakukufuru (Kwa sababu uchawi ni kufru) bali Mashaytwaan ndio waliokufuru wakiwafundisha watu uchawi (waliokuwa wakiujua wenyewe tangu zamani) na (uchawi) ulioteremshwa kwa Malaika wawili Haruta na Maruta katika (mji wa) Babil (Babylon). Wala (Malaika hao) hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie "Hakika sisi ni mtihani (wa kutazamwa kutii kwenu); basi usikufuru. "Wakajifunza kwao (Mashaytwaan) ambayo kwa mambo hayo waliweza kumfarikisha mtu na mkewe (na mengineyo) Wala hawakuwa wenye kumdhuru yeyote kwa hayo ila kwa idhini ya Allaah. Na wanajifunza ambayo yatawadhuru wala hayatawafaa. 157 Na kwa yakini wanajua kwamba aliyekhiari haya hatakuwa na sehemu yoyote katika Akhera. Na bila shaka ni kibaya kabisa walichouzia (starehe za) nafsi zao (za Akhera). Laiti wangalijua, (hakika wasingefanya hivi)." Katika aya hii Allaah anatufahamisha pia kuwa uchawi ulikuwepo kabla ya Nabi Sulaymaan kwa miaka mingi, tokea zama za ustaarabu wa Babiloni walipoteremshwa Malaika wawili, Haruta na Maruta ili kuwaonyesha watu na kuwafahamisha nini uchawi, wapate kuujuwa mara watakapouona na wasiufuate, na hii ni kwa sababu uchawi ni kufru. Watu waliacha kufuata nasaha za Malaika hao na wakajifunza yale ambayo yatawadhuru na wala hayatawafaa, ingawaje walikuwa 158 wakijuwa kuwa aliyekhiari haya hatakuwa na sehemu yoyote katika Akhera. Wachawi mpaka hivi sasa wanajaribu kuunasibisha uchawi wao na Nabii Sulaymaan pamoja na Malaika hawa wawili. Tatizo kubwa hupatikana pale wachawi wanapofanya uganga wao pale wanaposema maneno yao ya kichawi. Wao huchanganya maneno hayo na baadhi ya aya za Qur-aan na wanaofanyiwa uganga hudhania kwamba Qur-aan ndiyo inayosomwa na kwa ajili hiyo na kutokana na ujinga wao, huhadaika na kujiingiza nao katika shirki. HUKUMU YA UCHAWI KATIKA DINI YA KIISLAMU 159 Anasema Imam Maalik (Rahimahu Allaah) katika kitabu chake AlMuwata: "Mchawi anayefanya uchawi mwenyewe, hukumu yake ni kuuwawa, ama yule anayemuendea mchawi, huyo hauwawi." Ibni Qudama naye anasema; "Hukumu ya mchawi ni kuuawa." Hukmu kama hizi pia zimepokelewa kutoka MaSwahaba mbali mbali kama vile Umar, Uthmaan, Ibni 'Umar na wengine (Radhiya Allaahu anhum). Hukumu hii ya kuuwawa kwa mchawi pia ameitamka Imam Ahmed bin Hambal (Rahimahu Allaah). 160 Na imepokelewa kutoka kwa maSwahaba mbali mbali kwamba Umar bin Al Khataab (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliwaandikia maSwahaba kuwaamrisha wamuuwe kila mchawi mwanamke au mwanamume. Anasema mmoja katika maSwahaba kwamba baada ya kupata maandishi hayo waliwakamata na kuwaua wachawi watatu." Amma Imam Shafi (Rahimahu Allaah), yeye anaona kuwa mchawi asiuliwe isipokuwa akikiri mwenyewe kwamba ameuwa kwa uchawi wake Kutokana na yaliyotangulia infahamika kwamba MaSwahaba (Radhiya Allaahu ‘anhu) pamoja na maulamaa wengi wanaona kwamba hukumu ya mchawi ni kuuliwa, 161 isipokuwa Imam Ash-Shaafi'y (Rahimahu Allaah), yeye anaona kuwa auliwe tu ikiwa mchawi huyo atakiri kwamba ameuwa kwa uchawi wake. KUJIKINGA NA SHARI ZA WACHAWI NA MAJINI WAO Zifuatazo ni baadhi ya Njia za kujikinga na waovu hao: KUSAFISHA NIA Ibilisi alipohukumiwa kupotea kwa sababu ya kuasi kwake, aliahidi kuwapoteza viumbe wote isipokuwa wale waliosafika kikweli. Ibilisi akasema kumwambia Allaah: 162 "Isipokuwa wale waja wako waliosafika kweli kweli." Kusafisha nia (Al Ikhlas), maana yake ni kuzihusisha Ibada zote kwa moyo wote kwa ajili ya Allaah peke yake, siyo kujionyesha mbele za watu kuwa ni Mcha Mungu na unapokuwa peke yako unamuasi. Al Junaid, mmoja katika maulamaa wakubwa wa wakati wake amesema: "Allaah ana waja wake wenye akili, walipopata akili wakaifanyia kazi, walipofanya kazi wakaitakasa kazi hiyo na kule kuitakasa kwao kukawaingiza katika milango ya kheri yote." KUTIA UDHU 163 Katika hadithi nyingi Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ametufundisha juu ya umuhimu wa kubaki na udhu kila mtu anapoweza kwa ajili ya kupata thawabu na kwa ajili ya kujikinga na kila shari. SWALA KATIKA JAMAA Kuswali swala za jamaa msikitini, maana Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ametufundisha kwamba mbwa mwitu (Shaytwaan) huwala kondoo wanaotembea mbali na wenzao. SWALA ZA SUNNAH Swala za Sunnah uziswali nyumbani, usiiache nyumba yako ikawa kama kaburi, na 164 unaposwali nyumbani Shaytwaan hulia na kutoka nje ya nyumba yako huku akisema; "Sina pa kulala humu, wala sina pa kula humu". KUMUOMBA ALLAAH Kumuomba Allah kila mara Shaytwaan anapotaka kukuchezea na kila unapoingia mahali pachafu. Kwa mfano: Unapoingia chooni uisome dua ifuatayo: "Allaahumma inniy audhu bika minal khubuthi wal khabaaith). Na maana yake; (Allaah mimi najikinga kwako kutokana na majini wanaume na majini wanawake). 165 Kabla ya kulala usome Suratul Ikhlaas, Suratul Falaq na Suratul Naas pamoja na AyatulKursy, maana hadithi sahihi tuliyoitaja mwanzo wa darsi hii inasema kuwa anayeisoma aya hii, Allaah anaendelea kumhifadhi mpaka asubuhi anapoamka. Ni vizuri pia kuzisoma aya tano za mwanzo za SuratulBaqarah kisha Ayatul Kursy kisha kuzisoma aya tatu za mwisho za Suratul Baqarah na Allaah Atakulinda na majini pamoja na uchawi katika siku nzima. Kuzisoma dua mbali mbali kama vile: (Audhu bikalimati Allaahi ttaamah min kulli shaytanin wa haammah wa min kulli aynin laammah). 166 Na maana yake ni; "Najikinga kwa Allaah kutokana na kila Shaytwaan na (kila) mdudu anayesota (kama vile nge na nyoka nk. na kwa kila jicho linalodhuru). (BismiAllaahi lladhiy laa yadhuru ma-a smihiy shayun fil ardhi walaa fiy ssamaa wahuwa ssamiyl aliym). Unapotoka nje ya nyumba usome: (BismiAllaah tawakkaltu ala Allaah walaa haula walaa quwwata illa biAllaah) KUSOMA QUR-AAN 167 Qur-aan ni kinga kubwa sana, na Muislamu anatakiwa daima awe anaisoma nyumbani kwake. Hapana kitukufu anachokiogopa Shaytwaan kuliko Qur-aan, dua, pamoja na Ibada zinazokusogeza karibu na Mola wako. Na kila mtu anapokuwa mbali na Mola wake anakuwa karibu sana na Shaytwaan. Kwa kupiga mfano; Mtu anapita njiani akakumbana na mbwa mkali anayebweka huku akiwa amemzuwilia njia. Bila shaka mtu huyo atashindwa na hila ya kumuondosha ili apite na zake; bali ataogopa asitafunwe na mbwa huyo. Lakini mtu huyo mara atakapotambua kuwa mwenye mbwa huyo yupo karibu, na kwamba 168 akimuomba amwondoe njiani basi kwa ukelele wake mmoja tu, mbwa huyo ataondoka taratibu na kumpisha apite, bila shaka atamuomba msaada wake. Mfano huu ni mfano wako wewe binadamu unapomuomba Mola wako akukinge na Mashaytwaan. DUA ZINAMKUMBA SHAYTWAAN Kama vile Shaytwaan anavyoweza kuwakumba wanadamu walioghafilika na kumdhukuru Allaah, Shaytwaan naye pia hukumbwa na dua za wanaomdhukuru Allaah: Imeelezwa na maulamaa kuwa, Shaytwaan anapojaribu kumsogelea mchaMungu 169 mwenye kumdhukuru Mola wake kila wakati kwa ajili ya kumkumba, basi dua zake humkumba Shaytwaan huyo na kumuangusha chini. Kisha Mashaytwaan wenzake hukusanyika na kuulizana: "Amepatwa na nini huyu?" Wenzao huwajibu: "Amekumbwa na binadamu." DHIKRU ALLAAH Kwa kumaliza napenda kujikumbusha nafsi yangu kwanza na pia kuwakumbusha ndugu zangu Waislamu pia kwamba, hakuna kinga kubwa inayomkinga mtu kutokana na kila balaa baada ya Qur-aan kama kumdhukuru Allaah. 170 Kumdhukuru unapolala, unapoamka, unapotoka nyumbani, unapositushwa na jambo, unapofurashishwa. Katika kila jambo lako jema au lisilo jema, bali hata katika kumuasi Mola wako unapomkumbuka Allaah na kukumbuka uwezo Wake juu yako na neema Zake juu yako mara utayaacha maasi hayo. Na ukumbuke kwamba kwa msaada wake Yeye tu Subhanahu wa Taala utaweza kujikinga na kila balaa. USIINGIZE NDANI YA NYUMBA YAKO VIFUATAVYO Mwisho kabisa ningependa kukumbusha kuwa ndani ya nyuma yako usije ukaingiza yafuatayo; 171 Usitundike picha yeyote ile. Usisikilize nyimbo. Usiweke baraza za kusema watu au kutukana watu. Usitizame filam za sinema nk. Hayo yote yanakaribisha Mashaytwaan katika nyumba yako na yanafukuza Malaika. Allaah Anasema: "Na kama wasiwasi wa Shaytwaan ukikusumbua basi sema (AudhuBiAllaahi), jikinge kwa Allaah (na kuchezewa na Shaytwaan), Bila shaka Yeye ndiye asikiaye na ajuaye. 172 Hakika wale wanaomuogopa (Allaah) zinapowagusa pepesi za Shaytwaan, mara hukumbuka, tahamaki wamekweshaona njia. Na ndugu zao (wale walioasi) wanawavutia katika upotofu (upotevu kisha wao hawaachi).” Al-A'araaf 200-202 Hivi ndivyo ilivyo, wale wanaoasi daima hawapendi kuona wenziwao wanaokoka na wanajaribu kila njia kuwavutia katika maasi, lakini Mwenye kuomba msaada wa Allaah basi Mola wake Atamuokoa. 1. Imani kwamba kuna uchawi na ulozi imeenea kadiri gani? 173 “BARANI Afrika, haina haja kuuliza kama kuna wachawi,” chasema kitabu African Traditional Religion, na kuendelea kusema kwamba “Waafrika wa hali zote huamini sana uchawi.” Watu wasio na elimu na hata wenye elimu ya juu huamini kwamba kuna uchawi na ulozi. Viongozi wa dini ya Kiislamu na wa Jumuiya ya Wakristo pia huamini kuna uchawi na ulozi. 2. Watu wengi wanaamini nguvu za uchawi hutoka wapi? 2 Watu wengi barani Afrika wanaamini kwamba kuna nguvu fulani ya kiroho yenye uwezo sana. Wanaamini kwamba Mungu anaidhibiti nguvu hiyo. Viumbe wa roho na wazazi wa kale wanaweza kuitumia. Na watu fulani pia wanajua jinsi ya kupata sehemu ya 174 nguvu hiyo na kuitumia katika uchawi unaotoa ulinzi au uchawi unaodhuru. 3. Uchawi unaodhuru ni nini, na watu huamini unaweza kufanya nini? 4 Uchawi unaodhuru, hutumiwa kwa maadui. Inaaminika kwamba wale wanaoutumia wana nguvu za kutuma popo, ndege, nzi, na wanyama wengine wakashambulie watu. Watu wengi huamini kwamba uchawi husababisha mapigano, utasa, magonjwa, na hata kifo. 5. Watu wengi wanaamini nini kuhusu wachawi, nao wanatoa sababu gani ya kuamini hivyo? 175 6 Katika sehemu nyingi za Afrika, watu wengi wanaamini kwamba binadamu anaweza kubadilika au kubadilishwa na kuwa mnyama. Wengi wanaamini kuwa wachawi wana uwezo wa kubadilika kuwa chui au nyoka. Hali kadhalika, watu wengi huhofu kwamba mchawi anaweza kuwabadili watu wengine kuwa wanyama. Katika Afrika magharibi, inaaminiwa kwamba wachawi wanaweza kutuma roho za wanadamu kupitia ndege au wanyama wengine ili kuwadhuru watu wengine. Waafrika wengi huhisi kwamba mabadiliko hayo ya mtu kuwa mnyama yamethibitishwa na watu fulani waliojionea kwa macho. Wao hudai kwamba zile hadithi nyingi zinazosimuliwa na watu wenye akili timamu haziwezi kuwa mambo ya kukisia tu. 176 6. Uchawi unaoaminiwa kuleta ulinzi ni nini, nao hutumiwaje? 7 Uchawi unaoaminiwa kutoa ulinzi unasemekana kwamba hukinga mtu na mabaya. Wale wanaotumia uchawi huo huvaa pete au bangili za uchawi. Wao hunywa dawa fulani ya uchawi au kuipaka mwilini ili kujikinga. Nyumbani kwao au chini ya ardhi, wao huficha vitu ambavyo wanaamini vina nguvu za kuwalinda. Wanatumainia hirizi zenye maandiko ya Qurani au ya Biblia. Uwongo na Udanganyifu 6. Shetani na roho wake waovu walifanya nini zamani, nasi tunapaswa kuzionaje nguvu zao? 177 6 Ni kweli kwamba Shetani na roho wake waovu ni maadui hatari wa wanadamu. Wana nguvu za kudhibiti akili na maisha ya watu, na zamani hata waliwapagaa wanadamu na wanyama. (Mathayo 12:43-45) Ingawa hatupaswi kupuuza nguvu zao, hatupaswi pia kuziona kuwa kubwa mno. 7. Shetani anataka tuamini nini, na ni mfano gani unaoonyesha jambo hilo? 7 Shetani ni mdanganyifu stadi. Yeye huwapumbaza watu wafikiri kwamba ana nguvu nyingi kuliko ilivyo kwa kweli. Kwa mfano: Wakati wa vita vya hivi karibuni katika nchi moja ya Afrika, askari-jeshi walitumia vikuza sauti ili kuwaogopesha maadui wao. Kabla ya kushambulia, askari hao walikuwa 178 wakivumisha mlio mkubwa wa mizinga na bunduki uliokuwa umerekodiwa. Walitaka maadui wao wafikiri kwamba wanashambuliwa na jeshi lenye silaha nzito- nzito. Kwa njia hiyohiyo, Shetani hutaka watu waamini kwamba ana nguvu kubwa mno. Kusudi lake ni kuogopesha watu wasifanye mapenzi ya Yehova bali wafanye mapenzi yake. Na tuone aina tatu za uwongo ambao Shetani hutaka watu waamini. 8. Ni uwongo gani ambao Shetani huendeleza? 8 Uwongo mmoja ambao Shetani huendeleza ni huu: Hakuna jambo lolote baya linalotukia tu; kila jambo baya husababishwa na mtu fulani au na nguvu zisizo za kawaida. Kwa 179 mfano, tuseme mtoto amekufa kwa ugonjwa wa malaria. Huenda mama yake anajua kwamba malaria ni ugonjwa ambao huenezwa na mbu. Lakini huenda pia akaamini kwamba mtu fulani alitumia uchawi kutuma mbu aje kumwuma mtoto wake. Mkimbiaji katika mbio anaanguka Mara kwa mara, mambo mabaya hutokea tu 9. Biblia inaonyeshaje kwamba Shetani hasababishi kila tatizo? 9 Ingawa Shetani ana nguvu za kusababisha matatizo fulani, ni kosa kuamini kwamba ana nguvu za kusababisha kila tatizo. Biblia inasema: “Si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao 180 vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati [“tukio lisilotazamiwa,” NW] huwapata wote.” (Mhubiri 9:11) Mkimbiaji mmoja anaweza kukimbia kwa kasi kushinda wengine, lakini asishinde. ‘Tukio fulani lisilotazamiwa’ linaweza kumfanya asishinde. Labda anajikwaa na kuanguka au anapatwa na tatizo la misuli. Mambo hayo yanaweza kumpata yeyote. Si lazima yawe yanasababishwa na Shetani au uchawi; yanatukia tu. 10. Ni nini ambacho husemwa kuwahusu wachawi, na tunajuaje kwamba huo ni uwongo? 181 10 Uwongo wa pili ambao Shetani huendeleza ni huu: Wachawi wanaweza kubadilika au kubadilishwa kuwa wanyama ili kuwadhuru wengine. Hebu jiulize: ‘Ikiwa wachawi wanaweza kufanya hivyo, ni nini hasa hutoka katika mwili na kuingia ndani ya mwili wa mnyama?’ Kama tulivyoona, roho si kitu kinachoweza kuuacha mwili wa mtu. Roho ni nguvu ya uhai ambayo huutia mwili nguvu lakini haiwezi kufanya chochote bila mwili. Kubadilika na kuwa mnyama ni kinyume cha sheria za maumbile zilizoanzishwa na Yehova Mungu. Bila shaka, Mungu hangepuuza sheria zake kwa kuwapa wanadamu uwezo wa kujibadili na kuwa wanyama wasio na akili. Mwanamke akiwa amelala 182 Wachawi hawawezi kujibadili kuwa wanyama 11. Tunajuaje kwamba wachawi hawawezi kuiacha miili yao au kujibadili kuwa wanyama, na je, wewe unaamini hilo? 11 Roho haiwezi kuuacha mwili na kwenda kufanya jambo lolote baya au zuri. Hivyo, wachawi hawawezi kuiacha miili yao au kujibadili kuwa wanyama. Kwa kweli hawafanyi mambo wanayodai au wanayofikiri wamefanya. 12. Ni kwa njia gani Shetani huwafanya watu waamini kwamba wamefanya mambo ambayo hawakufanya? 12 Tunaweza kuelezaje mambo ambayo wale waliokuwa wachawi wanakiri kwamba 183 walifanya? Shetani anaweza kufanya watu waamini kwamba wameona mambo ambayo hawakuona. Kupitia maono, Shetani anaweza kufanya watu wafikiri kwamba wameona, kusikia, au kufanya mambo ambayo hawakufanya. Kwa njia hiyo, Shetani anatarajia kugeuza watu wamwache Yehova na kuwafanya wafikiri kwamba Biblia si ya kweli. 13. (a) Je, uchawi unaoaminiwa kuleta ulinzi unafaa? (b) Biblia inasema nini kuhusu uchawi? 13 Uwongo wa tatu ni huu: Uchawi unaoaminiwa kutoa ulinzi unafaa kwa kuwa inaaminika kwamba unaweza kuumaliza nguvu ule uchawi unaodhuru. Biblia 184 haitofautishi kati ya uchawi unaotoa ulinzi na uchawi unaodhuru. Inashutumu uchawi wa aina zote. Ona sheria ambazo Yehova alipatia taifa la Israeli kuhusu uchawi na wale wanaoutumia: ‘Msifanye uchawi.’—Mambo ya Walawi 19:26, Biblia Habari Njema. “Mtu mume au mtu mke aliye na pepo, au aliye mchawi, hakika atauawa.”—Mambo ya Walawi 20:27. “Asionekane kwako . . . mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri, wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi.”—Kumbukumbu la Torati 18:10-14. 185 14. Kwa nini Yehova alitunga sheria za kupinga uchawi? 14 Sheria hizo zinaonyesha wazi kwamba Mungu hakutaka watu wake wawe wachawi. Yehova aliwapa watu wake sheria hizo kwa sababu aliwapenda na hakutaka wawe watumwa wa woga na ushirikina. Hakutaka wakandamizwe na roho waovu. 15. Biblia inaonyeshaje kwamba Yehova ana nguvu nyingi zaidi kuliko Shetani? 15 Ingawa Biblia haizungumzii kwa undani mambo ambayo roho waovu wanaweza kufanya na wasiyoweza kufanya, inaonyesha kwamba Yehova Mungu ana nguvu nyingi zaidi kuliko Shetani na roho wake waovu. Yehova alimfanya Shetani atupwe kutoka 186 mbinguni. (Ufunuo 12:9) Ona pia kwamba Shetani aliomba ruhusa ya kumjaribu Yobu naye alitii amri ya Mungu ya kutomwua Yobu.—Ayubu 2:4-6. 16. Tunapaswa kumtegemea nani atulinde? 16 Andiko la Mithali 18:10 linasema: “Jina la BWANA ni ngome imara; mwenye haki huikimbilia, akawa salama.” Hivyo tunapaswa kumtegemea Yehova atulinde. Watumishi wa Mungu hawategemei hirizi au dawa za uchawi ziwalinde dhidi ya matendo maovu ya Shetani na roho wake waovu, wala hawaogopi walozi. Watumishi wa Mungu huamini yale ambayo Biblia inasema: “Macho ya BWANA hukimbia- kimbia duniani mwote, ili ajionyeshe mwenye 187 nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake.”—2 Mambo ya Nyakati 16:9. 17. Andiko la Yakobo 4:7 linatuhakikishia nini, lakini tunapaswa kufanya nini? 17 Wewe pia unaweza kuwa na uhakika huo ikiwa unamtumikia Yehova. Andiko la Yakobo 4:7 linasema: “Jitiisheni wenyewe kwa Mungu; lakini mpingeni Ibilisi, naye atawakimbia.” Ikiwa unamtumikia Mungu wa kweli na kujitiisha kwake, unaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atakulinda. • JINSI YA KUPATA ELIMU KUTOKA KWA WATU WA KALE[usifanye hii nihatali sana]. 188 Hii nia ni nyepesi sana lakini ni hatali kweli kweli kwanza kwanza kabisa ujue ni nani unae taka kupata elimu kutoka kwake mfano labda babu bidabida lakini sharia zake lazima mtu huyo awe amekufa kwaiyo unacho itajika chukua peni chola ABJADI zote kwanzia elufi ya kwanza mpaka ya 28 kisha somea ABJADI x1001 na kipindi hicho hakikisha uwe una mchanga kutoka kwa Yule marehemu funga pamoja na talasimu yako na baada ya hapo chukua hiyo talasimu nenda ukaizike njia panda siku 7 na kabulini siku 7hapo tayali chombo chako kime kamilika tambua kabsa kuwa wewe unanuizia kuwa uumpate babu bidabida aje akufunze elimu ya uganga au kama nimsanii au alikuwa ni nani basi aje akupe zile njia zote alizo pita yeye mpaka akafanikiwa kwaiyo ndani ya siku hizo 14 189 usiwe ni mtu wa kufanya mapenzi wala usile mboga ya roho maana ukifanya hivyo itakuwa n I baraha maana huyo unae mtengeneza ni mzimu maana akija akikuta wewe ulikula nyama nay eye atadai anataka nyama kama ulifanya mapenzio nay eye atataka kufanya mapenzi kwaiyo kama ni mkeo atakoma atafanywa usiku kuchaa kama popobawa tu kwaiyo tambua kuwa njia hii nirahisi ila ndio ngumu baada ya kwenda kuchukua azima yako basi weka chini ya uvungu na kama una lala na mtu huimo chumbani msubilie mpaka alale ndiop uwanze kufanya kazi zako usiku kabsa kiza kitawale nadi chukua udi mkali kabsa choma kisha anzaa kufusha kile azima yako . 190 Baada ya hapo ‘’OMBA EWE FULANI NAKUITA UJE UNIFUNZE UGANGA AMA KAZI FUILANI ULIZO KUWA UNAZIFANYA KIPINDI CHA UHAI WAAKO NJOO HARAKA NA WALA USINIDHURU WALA KUNITISHA NJOO KWA UPOLE NA UTULIVU ‘’ kwa maneno hayo na mengine mengi utakayo mwambia basi hato sita kuja na akija mutaanza mazungumzo mpaka alfajiri. Atakufunza kila siku kwa wiki mala moja tena siku ya ijumaa kuamkia juma mosi tambua huyu mzimu wako anaweza klufanya kazi zote mbaya n mzuri kama vile kwenda kumdhuru mtu,kumuibia [KOPERA],kumvuta mtu kimapenzi na kama utaamua kumuweka dukani huyu ndio anakuiwa msikule wa kuvuta wateja mada hii ni pan asana lakini 191 ridhoika kwa hapo maana mwanzo mgumu siku zote ubani wake wa kufusha ni miat saila. • TEGO LA KUMVIMBISHA MWIZI MIGUU. Tambua dunia ya sasa sio kama ya zamani ,maana sasahivi wizi umekuwa ni mkubwa sana ivi unajisikiaje mtu anavyo kuchukulia kitu chako cha dhamani wakati mwenyewe umetafuta kwa tabu mpaka kupata hiyo pesa sasa basi jinsi ya kumkomesha mwizi wala usiojali chukua chukka wa kwenye maji muuwe au kama utampata chula alie kufa mwenyewe pia ni safi chukua na kinyonga upate unga wake chukua namti ulio liwa na nchwa pamoja na ubupu au upupu ule unao washa hii ni dawa yako tayali na hapa itakuwa 192 na majibu ya halaka na kama utapata Yule sakai asie liwa ambae anatumbo kubwa basin i bora zaidi maana hii utakuwa umetengeneza bomu moja zuri sana chukua na mayai viza manne pamoja na fundio ya fungo hapo sasa dawa yako imekamilika kila idala dawa hii inaitajika uwe umeandaa ili kama unaletewa kesi basi wewe uwe ni mtu wa kufanya ukitaka kumchapa mtu sasa una hakikisha huyu amepitia hapa mwizi kuiba basi wewe chukua msumali wako pakaza mafuta ya kondoo mweusi kisha pakaa dawa yako hii hakikisha dawa hii uwe umeikaanga kwenye chungu na utapata usembe na usembe uwo unatakiwa uuwe kwenye chuma yaani bomba lakini iwe ya chuma ziba vizuri na makzi ya hiyo bomba yako ichimbie chini inaitajika kwanza ikae chooni siku11 mpaka 21 na 193 hakikisha pale unapo ikaanga uwe uneikatia damu ya kuku kinyavu nyavu na manyoya ya kuku huyo utie humo ndani nya hicho chumngu ukaangie pamoja tafuta na mzigo wa kichaa. Hapo pia vyote unakaangia pamoja kwaiyo dawa yako ikikamilika itakuwa inafanya kazi zote [KUMTIA MTU KICHAA,KUMSAFILISHA,KUMPIGA MAGONJWA UNAYO YATAKA,PIA INA KATA MTU HII ]. Sas ukiona kuwa mwizi kapitia hapa wewe cha kufanya chukua msumali wako pakaa dawa yako kisha pigilia kwa kumvimbisha mwizi miguu tumbo ama magonjwa unayo ya taka pia kama ni mtu kumvimbisha basi wewe 194 chukua puto weka dawa yako ndani kiisha puliza puto kwakutumia pampu hakikisha lisipasuke maana likipasuka kuna hati ya kumkosa huyo mtu. Kama umnatraka kumtia klichaa basi wewe unanuizia kisha unachoma jikoni dawa yako hakika atakuwa mwehu. • TEGO LA UKOMA Ikitokea mtiuu unataka kumbabua mwili basi wewechua dawa yako na athari ya mtu huyo kisha chanya na dawa yako kisha nenda ukapigilie msumali katika mti wa mfuru ndugu yangu mtu huyo atababuka mwili mzima. 195 • MICHEZO YA KUFICHA SEHEMU ZA SIRI ZA MTU KWA MUDA. Katika vitu vyote basi hii ni ya masihara sana lakini ni hatari dawa hii nina ifahamu kwa muda wa miaka 10 sasa maana nilisha wai fanyiwa kipindi cha udogo wangu nilikuwa motto mtukutu na mwizi lakini mama alidiliki kufanya hii kwa hakika niliacha wizi maana hichi kitu sikuwai tena kufanya. Tafuta unao itwa mtopetope mti huu ni mzuri sana kwa maradhi mbalimbali lakini leo tuangalie katika kuuomba kwaajiri ya kuficha vitu nenda katika mti wa mtopetope na ukiwa na mchele mtama na unga ukifika katika mti wa mtopetope tumia kwa kuuomba [eeh mti 196 wa mtopela wewe ndio mtupia wanga na wachawi na wezi wewe ndio mfunga kauli wa watu wote wenye maneno maneno] naitaji nichukue mzizi wako hawa ni wanajeshi kwaajiri ya kwenda kunifichia vitu mpaka nitakapo amua mimi basi chukua mzizi wa mti huo wa mazama jua yaani upande wa magharib kasha neneda kauchinjie damu ya bata uupe sada ya damu ya bata baada ya hapo nenda ukauweke katika mti wa kifa unongo yaani mti wa mama kafa au mchawi hana akili una m,ajina mengi sana hapo ndio iwe sehemu yake ya kuifadhi ikitokea una taka kumchapa mtu basi wala usisite chukua unyayo wake ama jina lake funga pamoja na hule mziozi wako kasha nenda ukaupeleke pale pale kwenye makazi yake ya kudumu utapiga odi X3 utatoa salam X3kisha ndio 197 useme shida yako [EEH WAFALME WA HAPA NIMEKUJA KUMDONDOSHA FULANI UUME WAKE NAITAJI UWINGIE NDANI KAMA UTAKAVYO INGIA NDANI WEWE NA KWA KOSA FULANI] basi chukua majani kadhaa ya huo mti na kitambaa cha kuokota funga pamoja na kitambaa cha kuokota jalalani kwaiyo utafunga pamoja na ule unyayo wa Yule mtu wako ama jina lake katika ule mzizi wa mtopetope kasha zika hapo chini ya huo mti kasha rudi nyumbani amini usiamini yaani ni mwizi basi lazima umme wake uwingie ndani . OPOO jinsi ya kumuopoa mtu huyo fungua kitambaa chako na vile vitu fungua katupe kwenye maji mengi yanayo tembe kwa hakika uume utarudi hapo hapo hii ni michezo 198 kwaiyo kama utampata mtu alie kagwa vizuri haita mpata. • SIRI ZA KONOKONO[koa]. kumsaidia mwendo na kuulinda mwili wake na mawaa. 2. Konokono wanamiliki JINSI MBILI zote mbili ya kike na ya kiume na wao wanapotaka kupandana HUVIZIANA USIKU (nadhani nimeeleweka). 3. Nchini Japan wataaalamu wamegundua kuwa uteute anaotoa mdudu huyu ni tiba 199 nzuri kwa ngozi ya binadamu, na sasa tiba hiyo imeanza kupendwa barani Ulaya ikitumika sana kwenye saluni kwa ajili ya kusinga (massage). matokeo ya tiba hiyo inayogharimu kiasi cha dola 50 takribani kilo moja ya madafu (Sh 100,000.) huonekana papohapo na kwamba wadudu hao hutoa kamasi zenye protin muhimu kwa ngozi ya binadamu. Konokono hutambaa uso mzima na ukiongeza hela hadi mgongo wote UNATAMBALIWA na hii inaakisi hadi misuli mingine ya mwili na kukufanya ujisikie murua na mwanana kabisa. 4. Wakati huku Tanzania, konokono akionekana mdudu anaetia kinyaa kwa baadhi ya watu,nchini za China na Japan wanyama hawa wamekuwa wakitumika kama kitoweo 200 na wengi wao hufugwa na binadamu. (Nimewala sana Abuja kule wanatembezwa kwenye mabeseni wakipikwa huwezi kuwatambua mara moja kama ni konokono na ni watamu saaaana na supu yake ni kama supu ya pweza kwa umaarufu huku kwetu......nadhani nimeeleweka) 5. Watafiti Wafaransa wamebaini kwamba unga wa konkono ni tiba muhimu sana kwa vidonda vya tumbo na mg 10 tu huweza kupunguza zaidi ya 42% ya vidonda vya tumbo na pia hutibu magonjwa sugu ya kurithi ikiwemo pumu na hata kutengenezea manukato. 201 • MAAJABU YA JUMBA LA KONOKONO LILILO JIFUNIKA[magubika]. Jumba hili la konokono ni ile nyumba ilio jifunika yaani kama ukipata nyumba ya konokono ilio jifunika basi nivizuri sana na katika maswala ya uchukuaji hakikisha kivuli chako kisiguse lile jumba yaani unatakliwa kulilia time kama jua lipo upande huu basin a wewe kaa upande huu kwa ajili ya kivuli chako kisigote pale kwenye nyumba yako ya kono kono lichukue jumba hilo na faida zake nyingi sana kama kufunga kessi,kumfunga mke au mume,kumfunga mdai wako,kufunga jambo lolote lile sasa basi chukua unga wa kiazi cha mlangami aupate urigino kasha changanya na unyayo wa huyo mtu wako 202 unae taka kumfunga pamoja na punje za chakula alizo zidondosha huyo mfungwa wako nap use puse za mswaki wake na kama mulifanya mapenzi kitambaa cha mulicho jifutia sasa basi katika lile koa lako kwenye ule mdomo andika jina la huyo mhusika kwa kutupia winno mweusi sasa basi chukua kitambaa cheusi cha kuokota basi vitu vyako vile chanya na ule unga wa mlangamia kisha ndio utumie kutia manuizi yako unayo yataka kisha vitu hivyo dumbukiza ndani ya hiyi nyumba na baada ya hapo kufanga na kile kitamba kisha zungushia uzi mweusi kisha nenda kazike kwenye kabuli la zamani au katika mti mlikufa kwa hakika lazima atakuambia kila atua anayo enda na anayo pita kwa uwezo wa mungu. 203 • MAAJABU YA JUMBA LA KONOKONO LILILO JIFUNUA [MAFUNUKA/KOA]. Koa hii ndio dawa ya bawasiri maa walio wewngi kwa sasa wanaugua ugonjwa huu na wala hawafahmu wapi kwa kupona sasa leo mimi na kuambia kama utachukua shubili na ukatwanga pamoja na koa hii ilio jifunua na chukua chunga unga wake na uwe unabandika kwenye tundu ya haja kubwa wakati wa kulala kwa muda wa siku kadhaa kwa hakika bawasiri itaisha lakini jua kabisa bawasiri ni ugonjwa hatari sana na una dalili nyin gi mno na ugonjwa huu unaanzia ndani kushuka njee kwaiyo jitahidi kutumia dawa mbalimbali za kunywa pia. 204 Zifuatazo ni dawa mujarabu kwa maradhi haya ya ugonjwa huu hatarilishi BAWASIRI AU MGOLO. Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujuliakana kama haemorrhoids au piles. Bawasiri inaweza kupelekea upungufu wa damu mwilini. Bawasiri inaweza kutibika ama kwa upasuaji ama kwa matumizi ya dawa mbadala kwa kipindi kirefu wiki hata 6 au hata zaidi kutegemea ilikuwa imejijenga kiasi gani. 205 Bawasiri husababishwa na nini Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha bawasiri, bali mambo yafuatayo yanaweza kupelekea wewe kupatwa na ugonjwa huu: 1. Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu 2. Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa 3. Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile 206 4. Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu 5. Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana. 6. Kuharisha sana kwa muda mrefu 7. Kutumia vyoo vya kukaa 8. Kunyanyua vyuma vizito 9. Mfadhaiko/stress 10. Uzito na unene kupita kiasi nk Dalili za Bawasiri 207 1. Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa 2. Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia 3. Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa 4. Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa 5. Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote Matibabu ya bawasiri: Kutegemea na umri wako bidabida anasema kuwa na namna ugonjwa ulivyojijenga na kudumu, unaweza kuhitaji dawa moja au mbili au hata tatu kwa pamoja kati ya hizi 208 zifuatazo. Kumbuka kumshirikisha daktari wako kabla ya kuamua kuzitumia hizi dawa. Bawasiri na tiba zake 1. Habbat-Sawdaa Chukua kijiko kikubwa kimoja cha unga wa Habbat-Sawdaa ukoroge ndani ya glasi moja ya maji na unywe yote. Fanya hivi kutwa mara mbili kwa wiki mbili mpaka tatu hivi. 2. Habbat-Sawdaa na Asali Changanya gm 500 za unga wa Habbat- Sawdaa na nusu lita ya asali. Lamba kijiko kimoja kikubwa cha chakula kila baada ya masaa manne. Ukimaliza kulamba kunywa 209 glasi moja ya maji ya kunywa ya joto la kawaida. 3. Aloe Vera Fresh Chukua kipande cha jani la mmea wa Aloe vera fresh (mshubiri) na kikate ukimenye kidogo ukitumia kidole kupata kama utomvu hivi au maji maji yake na upake sehemu ya utupu wako wa nyuma baada ya kuoga kutwa mara tatu. Jipake nyingi tu na uiache hivyo masaa kadhaa au mpaka utakpaoenda kuoga tena. Tengeneza pia juisi freshi ya mmea huu na uchanganye nusu glasi dawa hii na nusu glasi nyingine ya juisi yoyote ya matunda uliyotengeneza nyumbani ili kupata glasi moja 210 iliyojaa na unywe glasi 1 kutwa mara mbili kwa wiki 3 hadi 4. Juisi freshi ya aloe vera ni nzuri kwa kuongeza kinga ya mwili na kutoa taka zote za ndani ya mwili. 4. Juisi ya limau (lemonade) Chukua juisi ya limau na upake sehemu iliyoathirika. Juisi ya limau sifa yake kuu hapa ni kuondoa sumu na kuongeza kinga ya mwili kwakuwa ina vitamin C kwa wingi. Pia unywe glasi moja ya juisi hii kutwa mara kwa wiki 3 hadi mwezi mmoja. Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limau, maji, asali na mdalasini ya unga kidogo, nayo inaandaliwa hivi: *Chukua asali mbichi nusu Lita 211 *Chukua limau kubwa 12 au zaidi, zikate katikati kila moja. Zikamuwe moja baada ya nyingine kupata maji maji ya limau mpaka umepata ujazo wa nusu lita. *Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya mdalasini ya unga vijiko vikubwa 10 na maji lita 2 na nusu na uchemshe kama chai kisha ipua na uchuje na usubiri ipowe iwe ya uvuguvugu kidogo. *Sasa changanya pamoja asali nusu lita, juisi au maji maji ya limau nusu lita, maji ya uvuguvugu ya mdalasini lita 2 na nusu ongeza na ya maji ya kawaida lita 1 kupata lita 5, chuja vizuri. Ihifadhi katika friji isiharibike. 212 Kunywa robo lita (ml 250) kutwa mara 2 kwa siku 30 hivi kwa mtu mzima na glasi ndogo moja kwa siku kwa mtoto wa miaka miwili mpaka kumi. Unaweza pia kuongeza majani kidogo ya mnanaa (mint) na mbegu za shamari (fennel seeds) ili kuongezea radha na harufu nzuri. Kunywa juisi hii kila unapokuwa umepata chakula cha mchana cha nguvu au cha jioni. Unaweza pia kupakaa sehemu yenye bawasiri juisi hii ukitumia pamba kutwa mara 2. Unaweza kusikia maumivu zaidi lakini pole pole yataacha. 5. Siki ya tufaa 213 Chukua kipande cha pamba na ukichovye ndani ya siki ya tufaa (apple cider vinegar) na ujipake kidogo kidogo eneo lenye uvimbe taratibu. Unaweza kusikia maumivu zaidi lakini jipe moyo taratibu yatapotea. Hakikisha unapata siki ya tufaa ile ya asili kabisa siyo ile iliyopita viwandani. Pia kama una bawasiri ya ndani yaani ile isiyojitokeza nje na ukaiona kwa macho moja kwa moja unashauriwa kuchanganya kijiko kidogo kimoja cha siki ya tufaa ndani ya glasi ya maji na unywe yote kutwa mara 2. Hii husaidia pia kupunguza maumivu. 6. Mafuta ya nyonyo 214 Pakaa mafuta ya nyonyo mara mbili mpaka tatu kwa siku sehemu ya utupu wako wa nyuma kwa wiki tatu hadi nne hivi. 7. Mafuta ya lozi (Almond oil) Yana uwezo wa kunyonya na kulainisha bawasiri hasa ya nje. Hivyo yanalainisha hicho kiuvimbe kinachojitokeza sehemu ya haja kubwa pia kuondoa maumivu kama utakuwa ukiyapaka kila siku. Tumia pamba ukichovya ndani ya mafuta haya na upake sehemu yenye tatizo mara kadhaa kwa siku kwa wiki 3 hata mwezi mmoja. 8. Mafuta ya zeituni 215 Mafuta ya zeituni (Olive oil) ni moja ya dawa maarufu katika kutibu bawasiri. Mafuta haya yana viuavijasumu na huondoa pia maambukizi (infections). Yanaweza pia kusaidia kuongeza utanukani wa mishipa ya damu. Yanao uwezo pia wa kukausha kinyama cha bawasiri ya nje yakitumika kwa kupaka kwa kipindi kirefu. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha mafuta ya zeituni kila siku. Pia tumia pamba pakaa sehemu yenye tatizo nje na ndani kutwa mara 2 kila siku mpaka umepona. 9. Kipande cha barafu 216 Barafu inasaidia kubana mishipa na hivyo kuzuia uvimbe pia kuondoa maumivu kwa haraka. Chukua kipande cha barafu na ukifunge ndani ya kitambaa kisafi na uweke moja kwa moja sehemu yenye tatizo kwa dakika 10 hivi. Fanya zoezi hili mara kadhaa katika siku. Zoezi hili linaondoa maumivu ya bawasiri na dalili zake. 10. Mafuta ya nazi Mafuta ya nazi ni moja ya dawa nzuri sana kwa kutibu bawasiri. Mafuta ya nazi ni dawa nzuri dhidi ya bakteria, virusi na vijidudu nyemelezi sifa ambazo zinayafanya kuwa bora kwa kutibu bawasiri. 217 Mhimu yawe ni mafuta ya asili kwa asilimia 100 bila kuongezwa kingine chochote ndani yake na hayajapita kiwandani. Safisha vizuri sehemu yenye tatizo na ukaushe na kitambaa, chukua pamba chovya mafuta ya nazi na upake sehemu yenye tatizo nje na ndani kutwa mara 3 kwa majuma kadhaa. 11. Maziwa ya mbuzi Kama unasumbuliwa na bawasiri ya ndani na inakusababishia kuwa unapata choo chenye damu unatakiwa ujaribu maziwa ya mbuzi. Hii ni moja ya dawa rahisi zaidi za kutibu bawasiri ya ndani. Chukua nusu kijiko kidogo kimoja cha unga wa mharadali (mustard) uchanganye na vijiko 218 vikubwa 10 vya maziwa ya mbuzi na unywe kabla ya chakula cha asubuhi kila siku. 12. Binzari Binzari au manjano inao uwezo wa kuzuia na kutibu magonjwa. Hivyo inaweza kutumika pia kutibu sehemu iliyoathirika na bawasiri. Namna ya kutumia: chukua binzari ya unga kijiko kidogo kimoja changanya na mafuta ya mharadali na maji maji ya kitunguu maji na upate uji mzito (paste). Pakaa moja kwa moja huu mchanganyiko sehemu yako ya utupu wa nyuma na uache huko kwa dakika kadhaa. Hii inasaidia kutibu majeraha na kupunguza uvimbe mara moja. Tumia kwa majuma kadhaa. 219 13. Unga wa Mbegu za maembe Kutumia mbegu kubwa za maembe ni namna nyingine rahisi ya kutibu bawasiri hasa ya ndani inayotoa damu. Tumia kama ifuatavyo: Chukua mbegu za maembe (kokwa) toka katika maembe yaliyoiva, zianike juani kwa siku kadhaa na zikikauka kabisa zitwange au peleka mashineni upate unga wake na uuhifadhi unga ndani ya chupa isiyopitisha hewa. Kisha changanya gramu 2 za unga huu na kiasi kidogo cha asali na ulambe yote. Fanya hivi kutwa mara 2 kwa majuma kadhaa. 220 Kwa faida ya ziada ni kuwa Unga huu wa mbegu za maembe hutumika pia kukaza uke uliolegea au ulioongezeka sana ukubwa. 14. Baking Soda Tafiti nyingi zinasema baking soda ina faida kubwa pia katika kutibu bawasiri. Unatakiwa kuchanganya unga huu na maji kidogo kisha upake moja kwa moja sehemu yenye tatizo. Hii inasaidia kupunguza maumivu na kuondoa dalili za bawasiri. Baking soda ni ile wamama wanaitumia kupika maandazi hata mikate wakati mwingine inapatikana kwenye maduka ya kawaida hata Mangi hapo nje anayo. Kwanini watu wengi hawaponi bawasiri? : 221 Dawa peke yake haziwezi kukuletea maajabu yoyote, unaweza kupona lakini kama hutabadili vifuatavyo ugonjwa utaendelea kujirudia kwako na pengine hata kupona itakuwa shida. Bawasiri huwa haiponi haraka, walau dozi yake isiwe chini ya mwezi mmoja na ukizingatia yafuatayo kwa kipindi kirefu basi kupona ni lazima. WaTanzania wengi wanaugua bawasiri kutokana na sababu kuu mbili, moja wanakula ugali wa sembe badala ya ugali wa dona, pili hawanywi maji ya kutosha kila siku na wengine hawanywi maji mpaka wasikie kiu. Ili upone bawasiri moja kwa moja kwa urahisi zaidi zingatia yafuatayo kila siku: 222 1. Kula vyakula vingi vyenye nyuzinyuzi (fiber) kila siku 2. Kunywa maji mengi kila siku ili kusafisha mwili na kuepuka kufunga choo 3. Kula sana mboga majani na matunda 4. Kula vyakula ambavyo havijakobolewa 5. Epuka mapenzi kinyume na maumbile 6. Fanya mazoezi ya kuchuchumaa na kukaa mara 1 kila siku (squatting) 7. Usitumie choo cha kukaa 8. Usikae kwenye kiti masaa mengi 223 • SIFA ZA MTI WA MNYENJE NYENJE[lupopyo]. Mti huu nimekosa tu picha yake lakini wacha niwaelezee sifa zake munaweza kuujua baadhi yenu,mti huu ni mti ambaoo kwanza haukui sana nma pia mti huu ata kama ukikua basi huwezi kuupanda maana ni miti poli la kini mti huu unapenda sana kukaliwa na chavichavi maana sifa ya mti huu kama utaugusa fahamu kuwa lazima uwashwe na uvimbe mtii huu kwanza una kata kama kisu . Maandalizi ya mti huu kwanza nenda ukauchume na ukisha uchuma uchome upate usila wake na usila wa majani hayo mti huu unasifa ya kuwa ni ,mwewpesi sana mti huo una kazi nyingio sana kama vile kwenye dawa 224 za mapenzi kwa wakazi wa tanga wanaujua sana mti huu pia mti huu unafunga kesi mti huu unai ngia katika biashara za kupumbaza kama ‘’unaweza kwenda dukani kwa mtu saangine babu bidabida hayupo ila utakutamtu anbakusubilia hata kama upo umbali wa kibaha atakusubili na dukani lkwako lazima anunue au kama vipi anaweza kwenda na asinunue duka linguine akarudi badae dukani kwako’ kwaiyo hapo ni mfano mfupi wa mti huu. Pia cha kuzingatia mti huu unafunga mtu kimapenzi m,awazo fikiliza zake akili zake azimuwaze mwqengine akuwaze wewe tu . Pia mti huu ndio ukijichanja nao mbneleni kwa hakika kila mwanaume au mwanamke 225 utakae lala nae hato taka kwenda kwa mtu mwengine,mti huu ni hatal9i sana kwani una kazi nyingi sana katika ulimwqengu wa tiba lakini kwa kutokana na uchache wetu wa kijitabu chetu the magic book yaani KITABU CHA AJABU. Tuta endeleleza katika kitabu kijacho namba mbili yake nilisema ndangu mwanzo kuwa tumekuja kufanya mapinduzi na hichi ndio kitabu kweli cha maajabu. • DAWA YA KUFARAKANISHA[usifanye ni hatari]. Huyu ni jinni wa kuitenganisha watu baina ya mwanandoa na hawara au kikundi cha watu 226 wabaya au washilikina cha kufanya chora talasimu hii kwa kutumia wino mweusi na baada ya hapo utaisomea alamtara X1000 na kila ukifika idadi ya 100 unatia manuzi na hapo kwenye kifua ukuna namba nimekuwekea namba moja weka jina la mtu wako na namba mbili weka jina la mlengwa sasa kwa hakika utazungushia manuizi yako kwa njee ya talasimu hii kisha nenda ukaizike katika kabuli la zamani hakika utaona huo mfarakano wake ni wa hatari zingatia kama utachukua kuku njachama yaani kinyavu nyavu na ukammezesha talasimu hii kisha ukaenda kuzika kabulini kuna hatiahati ya hao watu kuwapa maradhi mazito sana tambua 227 kuwa talasimu hii ni mbaya na nichafu haifai kuoichola na kuweka officen kwako kama paombo maana biashara zako zitafungwa zote .ubani wake ni kachiri na hardali na unga wa kitunguu swaum na miat saila. Siku ni juma nne saa moja au saa nane mchana. Talasimu ipo ukurasa unao fuata zingatia muda saa na siku zipo ukalasa zambele maana ukizingatia hizo kwa hakika akuna baya litakalo kushinda akuna zuri litakalo kupita . 228 229 • SIRI ZA MTI WA MBAAZI. MBAAZI- Huu ni mti maarufu sana kwa watu wengi na hutumika kama mboga ama chakula hasa kwa watu wa pwaniPia kwa upande wa wa waganga,wanga,wachawi na baadhi ya majini na mashetani pia wanautumia mti huu kwenye mambo yao 230 Mbaazi ndiyo mti pekee wenye mambo mengi kwenye utibabu wa asili na hata uchawi kuanzia Majani,miti,mizizi,na hata udongo ulio chini ya mti wa mbaazi una kazi kubwa sana UDONGO WA MBAAZI 1.udongo wa mbaazi ndiyo unaotumika kuwapaka misukule pindi wanapopelekwa kwenye mashamba ya wchawi au kazi mbalimbali ili wasiweze kuonekana na watu wengine 2.Udongo wa mbaazi pia hutumika kwa kuumwaga njia panda zinazoingilia kijiini ili kuwapoteza watu wabaya wasiweze kuingia katika vijiji vyao,udongo huo huchanganywa 231 na vizimba vingine kisha huifadhiwa kwenye chungu ama tunguri kabla ya kwenda kuumwaga njia panda 3.udongo huu hutumika kutengeneza chuma ulete,mtu kupendwa na viumbe majini(hii hutumia sana waganga wanaotumia majini au vitabu)kuwatupia watu maradhi ya kichawi,udongo huu pia hutumika kumficha mtu akaweza kuingia sehemu bila kuonekana na macho ya kawaida MIZIZI YA MBAAZI Mizizi ya mbaazi inatibu magonjwa zaidi ya 70,yapo baadhi ya magonjwa hutibiwa kwa miziz hiyo pekee na magonjwa mengine mzizi huo huwa kiungo kwenye mchanganyiko wa 232 miti tofauti,mfano mizizi ya mbaazi ni tiba nzuri kwa mtoto mwenye kigugumizi pia mizizi ya mbaazi hutibu mtoto aliyechelewa sana kuongea amka alfajiri kabla ya kuchomoza kwa jua,uwe msafi wa mwili na uvae kaniki au kitambaa cheusi ukifika kwenye mti wa mbaazi ita jina lake mfano ewe mbaazi na uuombe maajabu yake kisha chimba mizizi ukimaliza chana kaniki funga miziz hiyo kisha fukia ulipochimba na unatakiwa uweke sadaka yako hapo chini ya mbaazi kama vile punje za nafaka mtama,mpunga n.k, viwe kiganja kimoja tu,pia unaweza kuweka pesa lkn iwe sarafu 233 chemsha dawa kwenye chungu cha mfinyanzi na sio sufuria,anywe mtoto kikombe cha kahawa kwa siku9 kigugumizi na kuchelewa kuongea kutaondoka. MTI WA MBAAZI mti wa mbaazi kuanzia kwenye shina hadi yanapoanza kuota majani yake ni dawa kali sna kwa anayetaka kupandishwa cheo,mvuto kazini,na kupendwa kata mti wa mbaazi wenye maua na uchune magamba yake kisha uyakaushe na uyatwange mpaka ziwe unga kama tunavyosaga dawa zingine za miti,wakati wa kukata uwe na kijogoo kidogo chekundu 234 mchinje bila ya kusema Bismillah wala kibla(sababu ni chakula cha majini) kwenye kuutwanga au kusagwa ufanywe na msichana bikra,au bibi aliyemaliza uzazi,kisha mtu anayetaka kupanda cheo,mvuto kazini au heshima anavaa kitambaa cha rangi ya nyota yake na aoshewe dawa huku anafanyiwa dua njema huongeza heshima,kuogopwa, na kupewa siri za wabaya wako kwani moja ya matokeo ya dawa ni kuwa wabaya wako mmoja atawasaliti wenzie na kukuletea taarifa ya kila kinachoiri kwenye mipango yao 235 pia mashetani na wachawi huwafunga wanyama wao kwenye miti ya mbaazi,mfano fisi,mbawala,kenge,nyoka nk pia wachawi huifadhi mikoba yao kwenye miti ya mbaazi kwa kuwa ina nguvu kubwa za kiroho kuliko mbuyu pia mbaazi hutumika kama fimbo ambazo hutembea nazo wachawi na wanga,mti wa mbaazi huchomekwa ndani ya ngozi ya mkia wa fisi maji au nyumbu. pia fimbo ya mbaazi hutumika kuwaamsha misukule,kuwatoa wafu kwenye makaburi yao kwa nguvu za giza na ndiyo maana wachawi wengi wanapokamatwa huwa hawapo tayari kuipoteza fimbo hiyo na wenye kujua huwa 236 wanaing'ang'ania fimbo hiyo na hapo mchawi atakuwa tayari kukupa kitu chochote hata mali zake zote. MAJANI YA MBAAZI majani ya mbaazi makavu hutumika kumpandisha ruhani asiyeweza kusema kwa sasbubu yeyote ile,changanya majani yaliyodondoka yenyewe na udi wowote kisha weka kwenye kaniki mfushe atasema bila shurutwi. ni huduma ya kwanza kwa mtu aliyepigwa na radi na kutoka damu,wazee hutafuna majani ya mbaazi na kumpaka 237 mwenye kuweweseka usiku huchukuliwa majani haya na kiota cha ndege aliyekwishaangua vifaranga huchanganywa pamoja yanachemshwa na anaoga mhusika akiwa uchi kabisa kwa siku 9 atakaa sawa. hutumika kama kinga ya chuma ulete pia ukitaka kuwaona wachawi kaa chini ya mbaazi usiku wa manane uwe uchi anza kunuia mbaazi ukuonyeshe watembea usiku ghafla utawaona. MBAAZI ni mti wenye kazi nyingi zisizoisha hata kwenye vitabu vya tiba na uchawi ni mti wenye kurasa nyingi na hadithi ndefu. 238 • DAWA YA BIASHARA CHEO PAMOJA NA UPENDO KWA KUTUMIA MTI WA MBAAZI. Nenda katika mti wa mbaazi siku ya alhamisi saa moja asubui na ukachume majani ya mbaazi mengi kidogo na kila jani andika herufi moja moja ziwe saba saba yaani kila kalatasi andika ayati qurusi kwaa kufarakanisha mpaka ziishe zote erufi kwaiyo kila jani moja la mmea huu basi andika herufi 7 za ayah ii bila kuweka hirabu zile kama hujui hii ayua ya surat bakara aya 255 basi ni hii hapa.. ُهّاللَ ُال ُاهالِإ ُّلِإ ُاوهه ُ ياحْلا ُهمو ياقْلا ُال ُهههذهخ ْ أات ُ ةانِس ُال او ُ م ْوان ُههال اام ُيِف ُِتا اواامّسلا اام او يِف ا ُال ُِض ْر ُْنام ُااذ يِذّلا ُهعافْشاي ُههادْنِع ُّلِإ ُِهِنْذِإِب ُهمالْعاي اام ُانْياب ُْمِهيِدْياأ اام او ُْمههافْلاخ ُال او ُانوهطي ِحهي ُ ءْياشِب ُْنِم ُِهِمْلِع ُّلِإ 239 اامِب ُاءااش ُاعِس او ُهه يِس ْرهك ُِت ٰوامّسلا ُاض ْرالا او ُال او ُهههدوهئاي اامهههظْف ِح ُاوهه او ُ يِلاعْلا ُهميِظاعْلا Baada ya hapo unatakiwa kuisomea aya hiyo hiyo majani hayo kisha ponda ponda majani hayo kwa kuchanganya ubani jawi pamoja na majani ya kivumbasi kisha anika na upate unga wake na unga huo utakuwa unachoma kwa kujifusha dawa hii kama utaitia na mlipu ndio inaitwa MSINUKA, dawa hii itainua kila jema na kuondoa kila baya kama utatumia kuchoma katika biasha basi inaita sana wateja pia tumia kujifusha na kipindi unajifusha utakuwa unatia nia yako kwa yale uyatakayo kwa hakika mungu atakupa 240 • JINSI YA KUUNDA PETE. Pete inaendana na nyota kwa sababu wewe unaweza vaa pete hii kumbe unatakiwa uvae pete Fulani na katika pete kila mtu anatkiwa 241 kuchagua pete anayo itaka kwaiyo njia lahisi kwanza fahamu nyota yako maana nyoyta yako ndio kila kitu na ukifahamu nyota yako mfano punda basi sifa yake avae pete yenye kito kipi hapo ndio utajua , Sasa basi nitawadokeza kwa uchache kuusu kila nyota na kito chake cha pete maana kuna watu hawajui jinsi ya kuunda pete zao. A ZIADA PUNDA-MWANAUME PETE Iwe ya fedha gram 3 kito chake iwe rubi nyekundu.Pete hiyo ifushwe udi wa jawi ndipo ivaliwe katika kidole cha pete cha 242 kulia.Watu wenye nyota hii ya punda ni wenye kujiamini na wasiokata tamaa,wenye kusaidiana na hila ya jeuri PUNDA-MWANAMKE Rangi yake nzuri ni nyekundu,Mwezi mzuri wa 3,nambari yake ni 1 madini yake chuma na kito chake ni Ruby.Kabla ya kuivaa aifushe na jawi,ubani dhukra na tufaha ljini NG'OMBE-MWANAUME Mwezi wake ni 4,madini yake ni Emaradi,rangi yake ni kijani.Pete yake ni gram3 ya fedha kito cha emarald kijani na itengenezwa mchana wa ijumaa wakati nyota yake ya zuhura ikiangazia mwezi.Aifushe na kandir,jawi na 243 udi.Watu wenye nyota hii ni watu wenye pesa,wenye mamlaka na ila ya majivuno. NG'MBE-MWANAMKE Rangi yake kijani,namba yake nzuri ni 2,mwezi mzuri wa 4,madini yake mi emarald.Pete gram1 ya fedha na kito cha emarald rangi ya kijani,aifushe na udi,jawi,hambar ma kandir na aivae mkono wa kulia MAPACHA-MWANAUME Nambari yake nzuri ni 3,rangi yake nzuri ni njano iliyopauka,mwezi mzuri kwake ni wa 5,madini yake ni zebaki,kito chake ni Agate.Avae pete ya fedhagram 3mkono wa kulia aitengeneze siku ya jumatatu wakati 244 mwezi unaangazia nyota ya utwarid na aweke kito cha Agate au njano iliyopauka Watu wa nyota hii ni watu wenye fikra,werevu wanaochambua sana masuala na wenye hila ya kupuuza MAPACHA-MWANAMKE Rangi nzuri ni draft,mwezi wa 8,siku yake ni jumatano,madini yake ni mekyuri,kito sofaya namba yake ni 6.Avae pete ya fedha gram1 kidole cha kulia na aitie kito cha sofaya rangi ya Draft na aifushe kwa ubani dhukra,habat rashad na tufah ljini. KAA-MWANAUME 245 Rangi nzuri nyeupe,madini ya fedha,kito Ruby.Avae pete ya fedha gram 3 kito cha ruby rangi nyeupe au blue mayson.Aitengeneze siku ya jumatatu mwezi ukiangazia nyota ya Qamar,aifushe na filfil nyeupe,kaafur na jawi na aivae kidole chochote cha mkono wowote.Watu wa nyota hii ni wenye kujali familia,wema na wenye hila ya kutojali MWANAMKE-KAA Rangi yake nzuri ni bluemaycon,namba nzuri ni 4,mwezi wake mzuri ni wa6,madini fedha,kito ni cha Ruby.Avae pete gram 1ya fedha kito kiwe cha blue mayson na aifushe na kandir pamoja na jawi na aivae mkono wa kulia 246 SIMBA-MWANAUME Rangi yake nzuri ni njano,dhahabu,namba yake ni 5,madini ni dhahabu,kito cha sadonixy,mwezi mzuri ni wa 7.Avae pete ya fedha gram 3 kito cha dhahabu au sadonixy na aitengeneze siku ya jumapili mwezi unapoangazia nyota ya shamsi.Aifushe kwa jawi,kandir na tufaha jinni na avae mkono wa kulia.Watu wa nyota hii ni watu wa upendo kwa watoto,na wenye mamlaka na hila ya kupenda kulazimisha. SIMBA-MWANAMKE Rangi yake ni njano na dhahabu,namba nzuri ni 5,mwezi mzuri wa saba,madini yake ni dhahabu,kito chake ni sadonixy,avae pete ya 247 fedha yenye kito cha sadonixy aifushe kwa kandir,jawi na tufal jini na aivae kidole kidogo cha mkono wa kulia. MASHUKE-MWANAUME Rangi yake nzuri ni draft,mwezi mzuri wa 8,namba yake nzuri ni 6,madini yake ni mercury na kito chake ni Agate.Atengeneze mchana wa jumatano nyota ya Utwaridi ikiongozwa gimba la mwezi,avae pete kidole cha pete mkono wa kulia aweke kito cha agate na iwe pete ya gram3 ya fedha na aifushe na udinadi na jawi.Ni nyota ya kujali kazi,wafatiliaji wazuri na umakini na wanahila ya kutokuwa wavumilivu. MASHUKE-MWANAMKE 248 Rangi nzuri kwake ni Draft,mwezi mzuri ni wa 8 na nambari mzuri ni6,madini ni mekyuri,kito cha Agate.Avae pete ya fedha gram 1 aweke kito cha Agate na aifushe na ubani dhukra,jawi,habat rashaad na tulfaha ljini,kisha avae katika kidole cha pete mkono wa kulia. MIZANI-MWANAUME Rangi yake nzuri ni bluu na kijani,mwezi wa 9,namba yake ni 7,madini yake ni shaba nyekundu na kito chake ni opal.atengeneze pete ya fedha gram 3 siku ya ijumaa wakati mwezi unaangazia nyota ya zuhura,aifushe na udi na jawi na aivae kidole cha pete mkono wa kulia.Ni nyota ya ndoa,wapenda haki, na 249 wenye furaha muda mwingi katika maisha yao na wenye hila ya usahaulifu. MIZANI-MWANAMKE Rangi yake ni blue na kijani,mwazi wake ni wa 9,namba yake ni 7,madini yake ni shaba,kito ni opal.Atengeneze pete ya fedha gram 1na aweke kito cha opal cha rangi ya blue au kijani na aifushe na udi,jawi na ubani dhukra na aivae kidole cha pete mkono wa kushoto. NYOTA/ASILI YAKE Kuna asili tatu za Nyota 1:Jinsia-Kike na kiume 250 2:Hali ya nyota-MOTO,UDONGO,HEWA,NA MAJI 3:Upande- MASHARIKI,MAGHARIBI,KASKAZINI,KUSINI NYOTA ZA KIUME Ni namba zisizogawanyika kwa 2 kuanzia namba 1-12 na kike zinagawanyika kwa 2. Hivyo basi nyota za kiume ni zenye nambari1,3,5,7,9,na11 wakati za kike ni zile zenye nambari2,4,6,8,10,12 Nyota zenye asili ya moto ni zenye nambari 1,5,9 na upande wake ni mashariki.Nyota zenye asili ya udongo ni zenye nambari2,6,10 na upande wake ni kaskazini.Nyota zenye asili 251 ya hewa ni zile zenye nambari3,7,11 na upande wake ni magharibi na Nyota zenye asili ya maji ni zile zenye nambari4,8,12 ns upande wake ni Kusini. AINA ZA NYOTA Zipo nyota 12 1:PUNDA:ARIES 2:NG'OMBE:THAURUS 3:MAPACHA:GEMINI 4:KAA:CANCER 5:SIMBA:LEO 6:MASHUKE:VIRGO 252 7:MIZANI:LIBRA 8:NGE:SCORPION 9:MSHALE:SAGITARIAS 10:MBUZI:CAPRICON 11:NDOO:AQUARIES 12:SAMAKI:PICES ATHARI APATAZO BINADAMU KATIKA MZUNGUKO WA NYOTA ZOTE 12 1:PUNDA -Maisha,uhai,mtoto haswa mchanga,jipya tangazo ,Ajali 2:NG'OMBE-Pesa,kazi,ukamilifu 253 3:MAPACHA-Ndugu,rafiki,jirani,jamaa wa karibu,safari ndogondogo 4:KAA- Wazazi,wazee,Nyumba,mke,mimba,ndani,mji, watu 5:SIMBA- Mtoto,barua,mkopo,kusoma,kuelewa,kuzung umzia utajiri 6:MASHUKE-Ugonjwa,tiwa nguvuni,wizi,makelele 7:MIZANI-Ndoa,mapenzi,tendo la ndoa,anasa,urembo 8:NGE:Kifo,hofu,wasiwasi,uchawi,askari n.k 254 9:MSHALE:Safari,msafiri,mgeni,ugenini,hakim u n.k 10:MBUZI-Biashara,utajiri,utukufu,utawala 11:NDOO:Mkutano,watu,watu wengi,rafiki,mapenzi,furaha n.k 12:SAMAKI- Uadui,upinzani,wizi,jela,dini,uchawi KAZI SAHIHI KWA KILA NYOTA ILI KUPATA MAFANIKIO 1:PUNDA:ARIES- Jeshi,muokoaji,michezo,uuzaji,upasuaji,ualim u na masuala ya fedha 255 2:NG'OMBE:THAURUS- Muziki,vyakula,ujenzi,mashamba,uhasibu,san aa za uchongaji na uchoraji 3:MAPACHA:GEMINI- Utangazaji,uchapishaji,ualimu,ushauri,ufasiri na kusafiri 4:KAA:CANCER- Madawa,baharini,upishi,watoto,benki,forema n na uandishi 5:SIMBA:LEO- Usimamizi,michezo,sonara,mwanamitindo,sin ema,masuala ya vijana,ualimu 6:MASHUKE:VIRGO- Uchapishaji,uongozi,Elimu na secretary 256 7:MIZANI:LIBRA-Uhusiano wa jamii,ushauri wa ndoa,sanaa,urembo,na sheria 8:NGE:SCORPION-Madawa,upelelezi wa uchunguzu,mafundi bomba,Historia ya mabaki ya viumbe,ushauri wa mambo ya jimai 9:MSHALE:SAGITARIAS- Sheria,uandishi,ualimu,Dini,michezo,jeshi,kuu za 10:MBUZI:CAPRICON-Injinia ramani za majumba,saveya,kazi za serikali,siasa,dokta wa meno 11:NDOO:AQUARIES-Fundi umeme,computer,uchunguzi kisayansi,kazi za jamii,unajimu,mazingira 257 12:SAMAKI:PICES- Unesi,muziki,Dansi,uigizaji,Askari- maji,chapa,ushauri. Hizi ni dondoo tu katika kitabu chetu hichi na mtunzi ni babu bidabida ni nguli wa tiba asili Tanzania . • NAMNA YA KUMUINGIZA JINNILA KINGA NA MVUTO WA PESA KWENYE PETE ULIO IYUNDA. Kwanza kabisa ndugu msomaji wa kitabu changu fahamu kabisa jinni ni kiumbe mpole sana kama ujamkwanza lakini jinni ni kiumbe mbaya sana kama utamkwaza sasa basi maandalizi.. 258 Jitenge na mikusaniko ya watu kwa muda wa siku9 na ndani ya siku hizo usithubutu kufanya tendo la ndoa na hakikisha una kuwa ni mtu wa nyiradi muda wote pende lea kulitaja jina hili YAA QALIMU,YAAH FATAHU,YAA MUJIBU. Majina yaha kwa idadi ya chini zitaje X786 na utafanya hivyo kila ukimaliza kuswali . Hakikisha ndani ya siku hizo utakuwa umefunga na pia usiwe mtu wa kula vitu vya roho mfano nyama,maziwa,samaki,nk Na kila siku usiku utasoma ayati qurusii kwaidadi ya chini ni X111 kila siku aya yenyewe kwa Kiswahili ni hii hapa[allāhu lā ʾilāha ʾillā huwa l-ḥayyu l-qayyūmu 259 lā taʾḫuḏuhu sinatun wa-lā nawmun lahu mā fī s-samawāti wa-mā fī l-ʾarḍ man ḏā llaḏī yašfaʿu ʿindahu ʾillā bi-ʾiḏnihi yaʿlamu mā bayna ʾaydīhim wa-mā ḫalfahum wa-lā yuḥīṭūna bi-šayʾin min ʿilmihi ʾillā bi-mā shaʾāʾa wa-siʿa kursiyyuhu s-samāwāti wa-l-ʾarḍ. wa-lā yuʾūḏuhu ḥifẓuhuma wa-huwa l-ʿaliyyu l-ʿaẓīmu.] kwa kiarabu fasaha [ مسب الله نمحرلا ُميحرلا ُهّاللَ ُال ُاهالِإ ُّلِإ ُاوهه ُ ياحْلا ُهمو ياقْلا ُال ُهههذهخ ْ أات ُ ةانِس ُال او ُ م ْوان ُههال اام ُيِف ُِتا اواامّسلا اام او يِف ُِض ْرالا ُْنام ُااذ يِذّلا ُهعافْشاي ُههادْنِع ُّلِإ ُِهِنْذِإِب 260 ُهمالْعاي اام ُانْياب ُْمِهيِدْياأ اام او ُْمههافْلاخ ُال او ُانوهطي ِحهي ُ ءْياشِب ُْنِم ُِهِمْلِع ُّلِإ اامِب ُاءااش ُاعِس او ُهه يِس ْرهك ُِت ٰوامّسلا ُاض ْرالا او ُال او ُهههدوهئاي اامهههظْف ِح ُاوهه او ُ يِلاعْلا ُهميِظاعْلا ] Nasiku ya mwisho utasoma bila idadi kuanzaa kufunga anza siku ya juma tano na siku ya misho basi kaa ndani katika chumba chako ulicho kianda sasa utamuomba kiumbe wakjo aje na utawasha udi mzuri na ubani makka na zhura anaweza kuwasili kabla ya saa 6 usiku na hakikisha uwe umeandaa mada yako na hapo utamuamuru akingia katika pete yako naam hapo atakupa muongozo wa kuonan nay eye kiumbe wako. • JINSI YAKUUNDA JINNI WAKUTIBU WAGONJWA WAKO. 261 Ukitaka kufanya hili wala usisite maana fahamu kuwa huyo jinni wa hapo juu ndio atakae fanya kazi zote na njia hizi ni mujarabu sana lakini waweza kuchukua mti wa mkoma manga mti wa mkunazi na mti wa mkuyu,mzizi wa mbaazi mitii hoiyotye chukua mizizi yao kata usawa uwe unalingana kisha funga kitamba chekundu,cheupe na cheusi kisha chionjia kuku mwenye langi zaidi ya moja kwa mauizi ya kuwageuza kuwa majini wa kutibu wa gonjwa wako na hapo itakuwa tayari na kama utampata mgonjwa awe wakichaa au wa aina yoyote ile unacho itajika wewe chukua jinni wako na umsomee surat yassin X3 na utanuizia kuwa na kuamuru utuibu mgonjwa huyu na baada ya hapo utamuwekea mgonjwa wako chini ya godoro na ndani humo zima taa na wala kusiwe na 262 mwanga wa aina yoyote ile na wala kusiwena makerere ya aina yoyote hata feni isiwepo. Kwa hakika mpaka atakapo fika asubui atakuwa ni mzima hata kama alipalalazi hii ninjia mujarab sana . • JINSI YA KUFUFUA UGANGA ULIO KUFA. Hii nitalasimu ya kutibu magonjwa yote san asana magonjwa ya kichawi sasa basi andika hii katika sahani ya udongo nyeupe kisha loweka katika maji masafi na maji hayo tumia kunywa na kuoga kwa muda wa siku 7 na hakikisha unatia manuzi yako kadri upasavyo na kombe hilo usisahau kumichamicha ofisini kwako na kwajiri ya kuita wateja kwa hakika hii ni talasim tamu sana pia talasimu hii chola 263 tena katika karatasi na uwe unaka nayo kama azima kwa hakika hii ni kinga kubwa sana katika ulimwengu na itakupa eshima,talasimu iko ukura unao fuata 264 • JINSI YA KUWAPA MAJINI YAKO NGUVU. Kitu kinacho hitajika kwanza chukua mti wa mtopetope,mti wa mwinura,pamoja na mfunguo,majani ya mwarobaini,magome ya mti wa muembe usio zaa pamoja na majani ya ndimu,pamoja na majani ya bahari kama upo kalibu na bahari kama upo kalibu na mto basi chukua majani ya mto yaani majani ya mto yale ya pembeni. Chukua na michanga ya njia panda pamoja na udongo wa kichuguu . MAANDALIZI YA KWAKO BINAFSI. Kwanza kabisa fahamu kuwa kifungo huwa kipo katika mwili wako na kumbuka njia hii 265 nilifanyiwa miaka mingi sana huko mkoa wa rindi sehemu moja wanapaita liware, mambo yangu yalifungika sana tena kwa kiasi kikubwa sana nilivyo enda kwa bibi alimaarufu kama bi kibibi kwa hakika alinieleza kuwa wewe kwanza wenzako wame kuchezea katika kazi zako na kumbuka kuwa kwa kipindi hicho ndio nilikuwa naanza kazi hizi basi akaniambia kuwa nita kufungua na nita wapa nguvu viumbe wako basi mimi nikasema sawa hakuna shaka, ilipo fika kesho yake ilikuwa siku ya juma tano saa nane mchana niliambiwa simama hapo juani na akaitwa kijana na kijana huyo akwa ananichota kivuli changu na kwa hakika niliona ajabu sana alichukua mchanga wa kivulli changu pasi nay eye kugusa kivuli changu na akachukua mchanga ule akatia katika maji ya kisima yalio 266 kuwa katika sufuria na ndani ya sufuria kulikuwa na zile dawa za kule nilizo kuambia basi nika fushwa ndani ya siku 6 na siku ya 7 nilivyo maliza ku fushwa basi nikaambiwa ni kaoge yale maji ya uvugu vugu kwa hakika nilivyo oga kwa hakika njozi zangu zilifunguka kwa kasi sana na nilikuwa na zipata njozi zilizo kuja,na zilizopo,na zilizo pita na kwa hakika wateja walifunguka sana leo hii nime amua kuwapa njia hii kwani ni njia mujarabu sana sana. • JINSI YA KUPATA JINNI WA KUPANDA KICHWANI. Nafahamu kuwa mada hii walio wengi sana wa likuwa wakiitaka sana sana maana ni changa moto kwa wengi sana mpaka wengine 267 wame chukua jukumu la kwenda kununua misukule,na majini yasio faaha na kugaiwa masharait ambayo ni magum sana ki kubwa mi mi naona nimuelezee kiumbe huyu SALSABIL huyu ni kiumbe ambaye ni wa uganga na anapanda katika kichwa cha mtu na tambua kwamba jinni huyu apendi mambo ya hanasa sherehe na maswala yote ya sio faha lakini tambua kuwa huyu ni jinni na katika miongoni mwa koo za kisharifu akina manawawru tambua jinni huyu wapo wa aina 3 kuna jinni la uganga jinni la pesa na jinni la njozi kwaiyo leo hii nimewapa sifa za FAWAZ,RUHAN kama una taka kupata jinni huyu wa uganga basi fahamu kabisa yana itajika mazoezi ya kutosha kwanza jiande na maswala ya kujiweka riaza na mambo mengine yatafata na mimi ndani ya kitabu hiki 268 ni kichache sana kwaiyo nitaishia hapo tu kwa jukumu hili kuwa na mapokezi mazuri ya kitabu kijacho. • NAMNA YA KUIBA JINNI WA MTU KATIKA BIASHARA YAKE. 269 Kama kuna mmoja wenu anataka kuwa na wateja wengi katika biashara yake basi kwanza anza kufanya upelelezi kuwa je katika eneo lako mfanya biashara gani duka lake anauza sana kupita wenzake ukisha jua andaa vifuatavyo kwanza nenda ukanunue mchele ama sukali katika duka lake hata kanma ni kilo moja baada ya hapo kama nimchele kausage upate unga wake yaani loweka kisha twanga upate unga wake kisha chukua unga wa zatari kama umepata ya majani twanga upate unga wake kisha chukua sukari nyeupe ya unga na kama utapata ina madonge saga upate unga wake naam kisha changanya na mchanga wa kwenye mikusanyiko ya watu wengi kama vile bar uwanja wa mpila hospital mahakamani kituo cha police sokoni nk kwaiyo ukisha changanya pamoja, 270 Unaitajika utenge sehemu safi kwaajiri ya kazi yako naam unaitajika kununua mishumaa langi ya nyekundu,nyeupe pamoja na ya kijani. Mishumaa hii utaitumia siku ya kazi yako kumbuka kazi yako utaifanya siku ya alhamic usiku kuanzia saa 6 naam baada ya maandalizi haya sasa chukua ule mchanganyiko wako usisahau kuchanganya na udi za rose saga upate unga nsio umixer pamoja naam . Baada ya hapo chora mtu wa kike katika sakafu yako na mtu huyo kwa pembeni mzungushie mishumaa ile nilio sema hapo juu kila mshumaa usipungue zaidi ya 3 naam. 271 Baada ya hapo utakuwa chini yaani wewe ukae upande wa kichwani kwake mtu huyo ulie mchora na lisha uwe unasoma ayat quruss bila idadi mpaka utakapo akikisha imefika saa kumi alfajiri kamili kisha amka na uwe tayari umemuandaa njiwa wako na njiwa wako na njiwa hao wawe 2 awe jike na dume naam baada ya hapo sasa wanjinje njiwa hao kwa kumwaga damu chini ya hule mchoro wako. Huku ukiwa unasema eenyi majini na wapa sadaka ya damu na mimi nataka munilipe damu yangu kwa kunijazia wateja katika biashara yangu mna kunipa kinga zidi ya wachawi na wezi yoyote atakae kuja kiubaya basi naomba munilipe damu yangu kupitia yeye. 272 Ukimaliza acha kama ilivyo na amka asubui kama ulienda kujipumzisha kisha zoa ule mchanganyiko wako yaani Yule jinni wako na baada ya hapo mtie katika chupa nyeupe ya kioo na chupa hiyo iwe kidogo dogo tuu inafaa sana chupa ile wanayo tumia kuwekea marashi rose yale machunmgu madogo safisha chupa hiyo na weka dawa yako na ndani yake weka maji ya baridi yaani amji yasiwe nanatokana na chumvi mfano kama maji ya bahari ,yana faa sana kuweka maji ya kisima yam to na maji ya ziwa ila si ya bahari zingatia hili. Baada ya hapo sasa nenda ukatundike katika biashara yako iwe mbele au kati kati ya fremu lako ama kiringe chako kumbuka dawa hii itafanya kazi kwa biashara yoyote ile na 273 nimewapa hii kama zawadi kumbuka katika kitabu hichgi nimetoa zawadi nyingi sana kwa sababu na wapende sana wanafunzi wangu na muzidi kuniombea babu yenu inshaallah . Na ule unga ulio bakia utatumia kuoga na kupigia deki katika eneo lako la biashara mpaka itakapo isha na ukiona kumepungua kasi ya wateja chukua chupa yako ichinjie damu yaani utafungua na kutosa damu ndani yake ndugu hioi ni mujarabu sana . • KILA MSHUMAA NA KAZI ZAKE. 274 Kijani: Kutengwa, kukua, hela, mafanikio, utajiri, uponyaji wa mwili, ndoa, uzazi, kazi, balansi, kichochezi cha ukuaji, mafanikio ya kifedha, kutakiana kheri, kazi mpya, mavuno mazuri, love etc. 275 Njano: Busara na heshima, vitendo, kuvutiwa na ubunifu, kusoma, uwezo wa akili, umakinifu, kumbukumbu, mvuto, kujiamini, furaha, mabadiliko, usalama ect. Nyekundu: Nguvu, mapenzi, ulinzi, upendo, moto, uzazi, upendo wa mwili na matamanio, kujipa moyo, mvuto, uhitaji, etc. Nyeupe: Ulinganifu wa rangi zote, mwangaza wa kiroho, usafi, uponyaji, utafutaji wa ukweli, kutokuwa na hatia, umoja, amani, ukweli, ulinzi, uponyaji wa hisia, huondoa mtazamo hasi etc. Pinki: Upendo, urafiki, mapenzi, heshima, ukaribu, kukaribisha ushirikiano, upendo 276 usiokuwa na kikomo, umakinifu, rangi ya kike etc. Dhahabu: Mwangaza, ulinzi, mafanikio, utajiri, hela, uanaume, mgawanyo, ushindi, bahati etc. Lavender: Hali ya kiroho, uchangamfu, kuvutia usaidizi wa kiroho, uwelewa, usaidizi, udhihirisho na kutokuwa na ubinafsi etc. Bluu: Mawasiliano, ukweli, amani,utulivu, uelewa, busara, ulinzi, uvumilivu, furaha, afya, utiifu etc Rangi ya Chungwa: Mafanikio, malengo, mvuto wa vitu vizuri, husafisha mtazamo hasi, tukio na mahali, makubaliano ya kibiashara, 277 mabadiliko ya ghafla, nguvu, kuvuta mafanikio, inavuta marafiki, inatia moyo etc. Brauni: Kukuza mafanikio ya kifedha, ulinganifu wa rangi, inasaidia kutafuta vilivyopotea, nyumba, maajabu ya wanyama, urafiki, maajabu ya dunia, etc. Papo: Inatumika na rangi nyeupe kupunguza ung'aavu, meditation, kujiamini, maarifa yaliyofichika, ukuzaji wa ulichonacho, kutambulika kazini etc. Waridi: Kuona huruma kwa mwenyewe na wenzako, nguvu, moyo mkunjufu, msamaha, ubunifu, uvumilivu, mapenzi, uponyaji, etc. Peach: urejeshwaji etc. 278 Violet: Nguvu, mafanikio, ubunifu, uhuru na mafanikio ya kifedha na uanzishwaji wa mahusiano mapya na wengine, Ivory: Ulinganifu, usiokuwa na madhara, kawaida etc. Nyeusi: Ulinzi, kuharibu uovu, etc. Silva: Uondoaji wa nguvu hasi, ushindi, uthabiti, kuondoa, etc. • JINSI YA KUMTIA MTU KICHAA KIZITO. 279 Walio wengi sana tumezidi kuonewa san asana hususani katika kanda yetu hii sasa basi kama ukiitaji kumpiga mtu kichaa basi usisite chukua chungu na ukiandike kwa njee tabati 280 yada yote kwa herufi moja moja,ndani andika waluli kuli kwa herufi moja moja chungu kiwe rangi nyekundu kisha chukua hardali mbegu pamoja na mchanga wa makaburini . ukisha pata hivi injika jikoni na moto huo uwe mkali sana. Anzaa kusoma surat tabati yada [SURAT AL MASAD]mara elfu moja kisha chukua jogoo langi mbili kulingana na jinsia unae mpiga kama ni wakike chukua waklike kama ni wakiume chukua wakiume jogoo sawa baada ya kumnjia nuizia kuanzia leo hii nimekupa sadaka ya damu enyi majini na mimi nataka mukamfarakanishe kama nilivyo farakanisha herufi hiiza kwenye chungu angalia sura utakazo ziandika katika chungu ziandike kavu kavu sawa baada ya hapo sasa chungu hicho 281 nenda ukakizike katika kabuli lililo sauliwa yaani kabuli kongwe. Tambua kuwa mtu wako unamnuzia katika kile chungu na ndani ya chungu weka nyembe 21,sindano21,karafuu maiti,unga wa mfarakano [MTASARA], unga wa mfunguo,unga wa kitimu timu,pamoja na mchanga wa njia panda 7, ndugu usifanye kwa kuone hii maana ni hatari sana,kumbuka ukimaliza nenda ukavunje njia panda au iwe konk zaidi kama usemi wa vijana wasasa wa kitanzania nenda ukazike kabulini ama kavunjie kabulini alafu esabu siku zako kuanzia siku hiyo mpaka atakapo kuwa mwenda wazimu huyo mtu wako. 282 CHA ZIADA NJIA HII NDIO NJIA INAYO WEZA KUMUAMISHA MTU KUMTOA KAZINI MTU NA KUMFILISI MALI ZAKE ZOTE KIKUBWA NI KUZINGATIA MUDA SAA NA WAKATI KAZI YAKO IFANYE SIKU YA JUMA NNE AUI JUMA MOSI SAA MOJA ASUBUI AU SAA NANE MCHANA NDUGU HII NI ZAMBI SANA KAMA UTAONEA MTU MIMI SIPO BY BABU BIDABIDA. • TALASIMU YA CCTV CAMERA/TEGO LA NDOA. 283 Hii ni tiba mzuri sana kwani unaweza ukafahamu kitu kilichopo kinacho kuja na kilicho pita wote kwa muda mmoja , 284 Njia hii imewasaidia wengi sana na nimeamua kuiweka njia hii kwa sababu kubwa watu Leo hii wakiota hawakumbuki kuwa waliota nini? Na kuna wengine hawaoti kabsa kwaiyo talasimu hii itakufanya uwote kile unacho kikusudia Unatakiwa kwanza uwe msafi pindi unavyo andika talasimu hii na unatakiwa uwashe UDI pindi unayo andika talasimu hii na kuandika waweza kuandika kwa peni yenye rangi nyekundu ndio mzuri or rangi ya kijani talasimu hii inafanya kazi nyingi sana kama wewe ni mganga jiongeze itakusaidia sana kwani hapo kwenye hii talasimu kwa nje unatakiwa uwandike jina lako kama wew ndio unaitaji kufahamu yatakayo kufika na 285 kufahamu kila kinacho kuja hii talasimu inamilikiwa na majini wa maono na kazi yao ni ya uganga wa utabili na talasimu hii inamilikiwa na jina LA Allah na rahmani talasimu hii inamilikiwa na malaika mkubwa sana pindi ituapo kwa binadamu basi unakuwa unatumikisha viumbe hai ,tambua yeyote mwenye kulalia talasimu hii kichwani kwake hatoweza kuugua kichaa wala kupoteza kumbukumbu na takuwa salama kwa shari zote za mashetwani na wachawi wote kwa maana hiyo talasimu hii inakinga zidi ya ushirikina naam . OK andika talasimu hii kwa muda wa SAA ya zuhura yaani SAA moja kamili ijumaa or SAA nane mchana 286 Muda huu ni mzuri wa kuaandaa talasimu hii na kama ukiitaji kumtega mkeo or mumeo na kujua asubui akiamka atafanya nini na ataenda wapi na atafanya nini na atakula nini kama atachelewa kurudi home atapitia wapi yaan yote utayajua kwa usingizi mmoja tu na ukiamka asubui yote unayakumbuka hii njia waweza tega biashara yako or nyumba yako yaan kama kuna mwizi basi utamuona or wachawi utawaona wanavyo roga nyumba yako yaan tarasimu hili ni khatari sana kwaiyo ukimaliza kuandka pindi utakuwa umegeukia kilba yaani kaskazini basi utakuwa unasoma uradi huu yaa allah,yaa rahmani, yaa rahimu, mpaka utakapo maliza na ukimaliza utaifusha UDI huku utakuwa unasema yaa Allah Mara 9 kisha taja nia yako ukimaliza kikunje vizuri iwe azima ndogo ndogo alafu nenda kaiweke 287 kwenye MTO wako unaolalia or chni ya godoro lako pale unapo lala wewe,kumbuka usisahau kuzungushia manuzi yako utakayo kwa rugha yako na majina unayo taka kumuweka tanda ya huu mtego hii ni khatari sana kwani utainjoi sana na jina andika kwa rugha yako by babu bidabida mtalaama wa tiba asili Tanzania wasiliana na Mimi kwa mawasiliano zaidi +255765458910 WhatsApp/call. • DAWA YA KUMVUTA MTU KAMA UPEPO. 288 Katika talasimu zenye bora basi hii uwezi iyacha leo nikupe faida za hawa majini hawa7 walio shika dunia na kama unavyo waona hapo kuna watu wana teseka sana na wapenzi wao na wapo waganga baadhi wakiletewa kesi za mapenzi bana wanazikimbia wengine hawawezi kabisa basi bila kusita babu bidabida nimekuletea hii kazi hapa cha 289 kufanya sasa hivi hata kama ukiletewa kazi za kumvuta mtu mpenzi wake yupo nje ya bara la Africa basi wewe usisite kikubwa uwe na jina lake na cha ziada uwe na namba zake za simu basi sasa basi maandalizi kuwa na peni na karatasi nyeupe naandika hiyo talasimu kama ilivyo ila wewe hapo nilipo andika babu bidabida weka jina la anae itwa awe wa kike ama wakiume na hapo nilipo andika ashura saidi ni sehemu pa kuweka jina la mwenye shida ya kuitawa mtu wake kama ni wewe basi weka jina lako. Na huko chini katika hiyo khatima nimeweka namba za simu basi hapo weka namba za huyo mtu anae itwa kisha basi unaweza kwenda kutoa photo copy zina takiwa ziwe karatasi3 ila kama unaweza kuandika zote pia 290 sio mbaya kuweka vizimba vyako vingine ruksa lakini jua hii ni talasimu imejitoshereza kama mgonjwa wako hana vifungo hakikisha umemfungua kwanza na umemchanja kama nindere za mzutwi na mwali ama dawa zako za mvuto inategemea labda makombe nk ila cha kukusii tumia hichi kitabu kwa hakika ni moto wa kuotea mbari. Ukisha maliza sasa karatasi zako zipake mafuta mazuri kama huna pakaa mafuta hata ya misk nyeupe kisha mwambie awe anachoma kilka siku usiku watu wote wakiwa wamelala inategemea na sehemu alipo kama ni kijijini watu wanalala hata saa4 usiku haifiki mji unakuwa jii basi hapo ndio pa kuchoma bomu lake ili lilipuke na akiwa anachooma na moshi ukiwa unatoka atasema vile anavyo 291 taka yeye kuhusu huyo mwanaume ama mwanamke anae muita hii pia inaita wateja kwa kasi sana ila kuna vitu vya kubadili na tutaona katika kitabu kijacho maana si mchezo. Kumbuka kukisomea kitabu chako pindi tu utakapo kinunua na kutaka kukitumia kisomee surat fatiha 11 kisha tia nia ya majambo yako kuwa unakitumia kitabu kilicho tungwa na babu bidabida ni nguri wa tiba za asili Tanzania kikufanyie nini kwa hakika sisemi sana. Talasimu hii kuisomea utake wewe ila haina haja kama utaichome ubani tu kwa kuifusha inatosha sana hakika allah ndio rahufu rahmu. 292 • MUDA NA KAZI ZAKE KATIKA TIBA. 1. JUMA TATU. 1. SAA MOJA NI SAA YA MAPENZI. 2. SAA MBILI NI SAA YA WATU AU ADUI AU KUVUNJA NDOA YA MTU. 3. SAA TATU NI SAA YA MAPENZI. 4. SAA NNE NI SAA YA VITA NA ADUI. 5. SAA TANIO NI SAA YA VITA NA UADUI. 293 6. SAA SITA NI SAA YA KUTOA MAJINI. 7. SAA SABA NI SAA YA KUFUNGA HIRIZI. 8. SAA NANE NI SAA YA KUFUNGA NDOA . 9. SAA TISA NI SAA YA KUFANYA KAZI YOYOTE UTAFANIKIWA. 10. SAA KUMI NI SAA YA KUUZA NA KUNUNUA. 294 11. SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUTENGANISHA WATU AU WANANDOA. 12. SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA AU KWENDA KUOMBA KAZI SEHEMU. 2.JUMA NNE. 1.SAA MOJA NISAA YA KUTENGANISHA AU NI SAA YA KUROGEA AU KUTUMA MAJINI. 2.SAA MBILI NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA AU KWENDA KUOMBA KAZI. 295 3. SAA TATU NI SAA YA MAHABA. 4.SAA NNE NI SAA YA KUTENGANISHA NA NI SAA YA UCHAWI. 5.SAA TANO NI SAA YA MAPENZI AU KUOGA DAWA ZA MAPENZI AU KUFANYA DAWA YOYOTE YA MAPENZI. 6.SAA SITA NI SAA YA VITA AU KUMPIGA ADUI 7.SAA SABA NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA. 296 8.SAA NANE NI SAA YA KUTENGANISHA PIA NI SAA YA UCHAWI. 9.SAA TISA NI SAA YA KWA WAKUBWA . 10.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI NA KUOSHA DAWA. 11. SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUTENGANISHA NA KUROGA. 12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI NA KUOSHA DAWA YA MAPENZI. 3.JUMA TANO 297 1.SAA MOJA NI SAA YA MAPENZI. 2.SAA MBILI NI SAA YA MAPENZI. 3.SAA TATU NI SAA YA KUANZA JAMBO LOLOTE UTAFANIKIWA. 4.SAA NNE NI SAA YA MAZINDIKO. 5. SAA TANO NI SAA YA KUKUABILIANA NA VIONGOZI AU MAFARAKNO YA NDOA. 6. SAA SITA NI SAA YA KUHARIBIKA KWA NDOA AU MAFARAKANO YA NDOA. 7.SAA SABA NI SAA YA KUPENDA WANAWAKE. 298 8.SAA NANE NI SAA YA KUKOSA KILA KITU CHOCHOTE KILE UTAKACHOKIFANYA UTAKOSA. 9.SAA TISA NI SAA YA KUANDAA VITA AU KUKUSANYA SILAHA. 10.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI . 11. SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUNYWA DAWA. 12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA KUTIMIZIWA HAJA. 4.ALHAMISI. 1.SAA MOJA NI SAA YA KUANDIKA MAKOMBE YA MAHABA. 299 2.SAA MBILI NI SAA YA WASIWASI. 3.SAA TATU NI SAA YA KUANZA SAFARI UTAFANIKIWA. 4.SAA NNE NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA. 5.SAA TANO NI SAA YA KUVUNJA NDOA AU KUFARAKANISHA. 6.SAA SITA NI SAA YA MAPENZI . 7.SAA SABA NI SAA YA KUFUKUZA AU KUMWANGAMIZA JINI. 8.SAA NANE NI SAA YA MAPENZI. 9.SAA TISA NI SAA YA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA. 300 10.SAA KUMI NI SAA YA KUVUNJA NDOA . 11.SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA MAPENZI. 12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI. 5.IJUMAA. 1. SAA MOJA NI SAA YA MAPENZI . 2.SAA MBILI NI SAA YA KUBAINI AU KUFICHUA UCHAWI. 3.SAA TATU NI SAA YA MAPENZI NA KUOSHA DAWA AU KUOGA DAWA. 4.SAA NNE NI SAAYA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA. 301 5.SAA TANO NI SAA YA KUWAONA VIONGOZI AU KUOMBA KAZI. 6.SAA SITA NI SAA YA KUFUNGA NDOA. 7.SAA SABA NI SAA YA KUWAONA VIONGOZI AU KUOMBA KAZI. 8.SAA NANE NI SAA YA MAPENZI. 9.SAA TISA NI SAA YA KUANZA SAFARI. 10.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI. 11.SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUOMBA JAMBO LOLOTE NA UTAFANIKIWA LIWE LA KHERI AU L SHARI. 12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI. 302 6.JUMAMOSI. 1.SAA MOJA NI SAA YA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA. 2.SAA MBILI NI SAA YA MAPENZI. 3.SAA TATU NI SAA YA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA. 4.SAA NNE NI SAA YA KAZI ZOTE NZURI UKIFANYA UTAFANIKIWA. 5.SAA TANO NI SAA YA KUFUNGA NDOA . 6.SAA SITA NI SAA YA MAPENZI . 7.SAA SABA NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA. 303 8.SAA NANE NI SAA YA KUFUKUZA MAJINI. 9.SAA TISA NI SAA YA KUWAPELEKA WATOTO KWA WALIMU. 10.SAA KUMI NI SAA YA KUVUNJA NDOA AU KUFARAKANISHA . 11.SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUFICHUA UCHAWI. 12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI. 7.JUMA PILI 1. SAA MOJA NI SAA YA KULIPA MADENI. 2.SAA MBILI NI SAA YA KUTAFUTA MCHUMBA. 304 3.SAA TATU NI SAA YA KUFUATILIA UTAKALO NA UTAFANIKIWA. 4.SAA NNE NI SAA YA KUFANYA MAMBO YOTE MAZURI. 5. SAA TANO NI SAA YA NUKSI AU KUFARAKANISHA. 6.SAA SITA NI SAA YA KUFANYA BIASHARA. 7.SAA SABA NI SAA YA VITA. 8.SAA NANE NI SAA YA KINGA. 9.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI NA KUOGA DAWA 10 SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI. 305 11.SAA KUMI NAMOJA NI SAA YA KUTAFUTA MCHUMBA. 12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA KUFANYA DAWA ZA MITI NA UTAFANIKIWA. • HITIMISHO. KITABU HIKI KIMEKUSANYWA NA KUTUNGWA NA BABU BIDABIDA NI NGURI WA TIBA ZA ASILI AFRICA MASHARIKI . MIMI NATIBU MARADHI MENGI SANA KATIKA JAMII HII YA SASA NA KUSAIDIA UMMA KWA MUJIBU WA VITABU VYOTE NA MITI SHAMBA NAPENDA KUTOA ASANTE KWA WAZAZI WANGU WALIO NILEA KWA MEMA JAPO KWA UCHACHE NA LEO HII WAMETANGULIA 306 MBELE ZA HAKI EEH! MUNGU NAOMBA UNILINDE MIMI PAMOJA NA FAMILIA YANGU NAOMBA KWA YEYOTE ATAKE TUMIA KITABU HIKI KWA UBAYA BASI UBAYA HUO JUKUMU LIWE LA KWAKE SIKU YAKIAMA. NIMEWEKA WAZI KILA KITU KWA KUTOKANA NA WALIMU WOTE NILIO SOMA KWAO SHUKRANI ZANGU ZA DHATI ZIENDE KWA NGURI WANGU SHEKHE ABDALLAH ABDALLAH YUPO TANGA LOKO,SHEKHE SULE DAR ES SALAAM,SHEKHE MANGAPI MKONGO RUFIJI,MWALIMU WANGU REHEMA YUPO MKONGO RUFIJI[nakupenda sana mwalimu wangu allah akurinde],BI-KIBIBI MSUMBIJI [mungu msamehe azabu za kabuli],SHEKHE SHALIFU TANGA,MZEE GOCHI KILIMANI 307 RUFIJI,SHEKHE TOTA KILIMANI RUFIJI,SHEKHE MBEPO KYERA IPINDA. NA WENGINE KIBAO KAMA KIJANA WANGU WA NGUVU KULWA KULINANI,NA MKE WANGU KIPENZI KWA KUNISAIDIA USIKU NA MCHANA KUFIKISHA KITABU HICHI KWA WATANZANIA , PIA BILA YA KUMSAHAU MWANAFUNZI WANGU EMMANUEL MJUZI [yupo babati manyara]. Na wengine wengi nilio wasahau naomba radhi kwenu ila usisahau kuwa kuna vitabu vingi vinakuja usikose kitabu changu kiitwacho …. 1USHANGA WA BIBI. 2MAJINI NA KAZI ZAO. 3HUMU HURU MURUJURUTU. 308 4TIBA ASILI. 5MIME NDIO UFUNGUO WETU. 6NGUVU ZA GIZA. 7UTAJIRI WA MATESO. Na vingine kibao ila usisite kuwasilina na mimi kujipatia dawa zangu kwani nina dawa kama MAFUTA YA AJABU,DAWA YA KISUKARI,DAWA YA NGUVU ZA KIUME,MACHAWI SUGU NK. Nimeanzisha group la malipo lipo wasapp,tembelea yoube yangu at babu bidabida online tv,tembelea na blog.www.babubidabida.blogspot.com au piga +255779916150.
Friday, December 23, 2022
tunzi na mwandishi NDIKUMARI Omar
Subscribe to:
Posts (Atom)